Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
makatapela mweeeWanaume wa mbeya tunakula vizuri sana, kitimoto, ndizi na maparachichi, unachagua bonzo lako moja na ndizi za kuchoma tatu na parachichi
makatapela mweeeWanaume wa mbeya tunakula vizuri sana, kitimoto, ndizi na maparachichi, unachagua bonzo lako moja na ndizi za kuchoma tatu na parachichi
Mbeya ni vidume tunatoka, mi nilikula matakapela na ndizi choma miaka ya 80 mpk leo mechi jamaa wanaomba pooh.Wanaume wa mbeya tunakula vizuri sana, kitimoto, ndizi na maparachichi, unachagua bonzo lako moja na ndizi za kuchoma tatu na parachichi
Kwahiyo tusipokula vyakula hivo vya kwenye RED tunakuwa si wanaume ???Habarini wanaJF,
Kama habari inavyoeleza. Ningependa kujua kama chips ni chakula sahihi kwa mwanaume. Nimeuliza hili kwakuwa uwa napenda Kula pale usalama makumbusho na sehemu kama katalunya, kibaoni tegeta but nawaona wanaume wenzangu tena vijana about 25- 41 wakiagiza chips mayai, kuku, mishikaki n. K. Kwa upande wangu nawahurumia hawa vijana na kujiuliza kwanni huyu kijana asile ugali nyama, ugali samaki, ugali mboga mboga kama bamia mchicha na kadhalika.
Au ndiyo kubana matumizi.
Naombeni kueleweshwa kama chips ni chakula sahihi kwetu sisi vijana
Nawasilusha.
Ahsante
Eleza worries zako kwa swali hiloHabarini wanaJF,
Kama habari inavyoeleza. Ningependa kujua kama chips ni chakula sahihi kwa mwanaume. Nimeuliza hili kwakuwa uwa napenda Kula pale usalama makumbusho na sehemu kama katalunya, kibaoni tegeta but nawaona wanaume wenzangu tena vijana about 25- 41 wakiagiza chips mayai, kuku, mishikaki n. K. Kwa upande wangu nawahurumia hawa vijana na kujiuliza kwanni huyu kijana asile ugali nyama, ugali samaki, ugali mboga mboga kama bamia mchicha na kadhalika.
Au ndiyo kubana matumizi.
Naombeni kueleweshwa kama chips ni chakula sahihi kwetu sisi vijana
Nawasilusha.
Ahsante
Hapana usikote vibaya sijamanisha ulivyokote. Elewa jinsi nilivyoulizaKwahiyo tusipokula vyakula hivo vya kwenye RED tunakuwa si wanaume ???
Mwanamume timamu hawezi kula chips hata kidogo.Ukiacha madhara ya kiafya, chips ni chakula cha mademu au mashoga. Hakuna cha dharura, chips inaondoa nguvu za kiume, mwanamume unakula chips tena kwa tooth pick inasikitisha sanaaaaaa, nyie mnaoponda mada ndio walaji wakubwa wa chips. Mnakera sana.Habarini wanaJF,
Kama habari inavyoeleza. Ningependa kujua kama chips ni chakula sahihi kwa mwanaume. Nimeuliza hili kwakuwa uwa napenda Kula pale usalama makumbusho na sehemu kama katalunya, kibaoni tegeta but nawaona wanaume wenzangu tena vijana about 25- 41 wakiagiza chips mayai, kuku, mishikaki n. K. Kwa upande wangu nawahurumia hawa vijana na kujiuliza kwanni huyu kijana asile ugali nyama, ugali samaki, ugali mboga mboga kama bamia mchicha na kadhalika.
Au ndiyo kubana matumizi.
Naombeni kueleweshwa kama chips ni chakula sahihi kwetu sisi vijana
Nawasilusha.
Ahsante
halafu bado dokta mwaka akiwa billione wanammindMwanamume timamu hawezi kula chips hata kidogo!!!!! Ukiacha madhara ya kiafya, chips ni chakula cha mademu au mashoga. Hakuna cha dharura, chips inaondoa nguvu za kiume, mwanamume unakula chips tena kwa tooth pick inasikitisha sanaaaaaa, nyie mnaoponda mada ndio walaji wakubwa wa chips. Mnakera sana.!!!!
Ila wanaume wa Dar mmevunja rekodi. Nasikia mmeandaa tamasha la kula chipsi mayai.