Mkuu nafikiri inategemea na hulka za watu wakiamua kufanya wanafanya tu so nafikiri ni utashi wa mtu mwenyewejamani mbona migahawa chungu tele? kwanza hao waliooa mbona kutwa kucha tunakula nao magengeni? nenda rose garden,breakpoint,hugo,jackies,bulyaga,rosanna etc uone mianaume iliyooa inavyofakamia michemsho na mi shwein ya kuchoma wakati wake zao wamejaa tele majumbani mwao,akifika anafunua hotpot na kuvunga vunga kama anakula kisha huyooo kwenye blanketi.
KWELI...
bold ya pili..............nimeona mfano wa mtu wa hivyo!
kibaya zaidi duka zinakouzwa condoms hajui liko wapi,ye anapuyanga tu,hafai kabisa,Kloro kamuonya imeshindikana na kuoa hataki anajiita eti yeye helikopta popote anatua,yaani we acha tu!duhh Ivi kumbe ..
em nipe story zaid Bishanga..
Tobaaaaaa!!bana eeh mimi sijui kupika,sitaki kupika,and i am not interested na kitu inaitwa jiko,period.
ps: mbona nasikia sikia eti wavulana wanaokuwa close saaaaaaaana na mama zao eti baadae kuna hatari wakawa sio riziki?ya kweli haya?
Si kweli hata kidogo,
Hata wanaojua kupika katika mazingira yetu hawana nafasi au muda wa kwenda jikoni.. Utaendaje kupika wakati nyumba imejaa watu...Mke, mabinti 2-3 na vijana wengine
Hata mimi sijui, ila nadhani kama mwanaume anajua kupika hawezi kuwa fussy kama wale wasiojua.Mwenye kujua kupika most probably hatazinguka sana na "mapishi" ya nje maana hata yeye ajua kupika!Ngoja tusikie watakaojibu wanasemaje.
tausi,
hapo kwenye blue...hivyo navyo ni vigezo vya mwanamume mzuri???
Na hapo kwenye red, hiyo list in exhaustive??
Perfetto!Inategemea na malezi mama yake aliyompa.
...... . mtu yeyote katika mazingira sahihi kwa malezi ya mama au baba pekee/zaidi anaweza akawa mzuri tu.Kwahiyo malezi bila kujalisha ya nani ndio yanayoweza kumfanya huyo mwanaume akawa "mzuri".
Dah! Kunilaza tena jikoni....lol!Inapendeza zaidi unapowalisha watoto wakati mi na umwa
na nilipo kuwa safarini.
Lakini sasa sipendi kabisa, napenda zaidi tukiwa wote jikoni.
au nikikununia kalale huko huko jikoni..
Mwanamme asiyejua kupika mbona ni hatari sana; ndio mwanzo wa unyanyasaji.. nadhani hata kwa mwanamke ni to her own interests to have a man who can cook. Matokeo yake mama akiugua au kusafiri utaletewa msaidizi wa kupika.. (vyote viwili)..
kibaya zaidi duka zinakouzwa condoms hajui liko wapi,ye anapuyanga tu,hafai kabisa,Kloro kamuonya imeshindikana na kuoa hataki anajiita eti yeye helikopta popote anatua,yaani we acha tu!
MMM...Hahahha hii kaliaisee miye ilibidi nijifunze kupika baada ya mtu kuweka mgomo wa kupika!! "Nenda kapike mwenyewe!" macho yakanitoka kama sungura aliyekoswakoswa na gari!
DC,dont complicate issues.... its so simple.Kama unaona siyo vigezo, potezea...
Self- reflection ikikupa kuwa huna hivyo vigezo usijiskie mnyonge lol.Jipe moyo..utakuwa na vigezo vingine......
Mbona mnapowananga kuwa ni mama's boys kwa vile wako karibu na mama zao hamjali kuwaangalia kwenye maeneo mengine?
Je kuna added value gani kwa mwanaume "kutokujua kupika" kwa mfano?
Mimi research yangu inaniambia wengi wao wamekuwa mabwabwa na wamefurahishwa sana na kauli ya kameruni.
Kinamama wanaharibu sana watoto wa kiume, tena naongelea kinamama wote mpaka wa hapa JF (ole wenu mbishe)
ungempiga kibuti,kwanini akuletee za kuleta bana?aisee miye ilibidi nijifunze kupika baada ya mtu kuweka mgomo wa kupika!! "Nenda kapike mwenyewe!" macho yakanitoka kama sungura aliyekoswakoswa na gari!
Dah! Kunilaza tena jikoni....lol!