Wanaume walipwe zaidi kuliko wanawake kazini

pesa yao nyingi inatumika kusaidia watu wa kwao na kurubuni/kufitinisha watoto dhidi ya baba yao. Anataka watoto wajue kwamba kazi ya kuwatunza ni ya baba pekee. Kama akinunua nyama anahakikisha kuwa watoto wanajua kuwa baba hakutoa hela ya chakula, hela ya ada, hela ya kununua nyama, nk
Ni wajinga sn, ndiyo maana wanabaki na maisha magumu pindi wakiachana na wanaume
 
Mkuu hoja yako inanikumbusha siku Moja nilikuwa napita sehemu wanapojenga mafundi, mara wakakatisha mabinti watatu wanao saidia kugawa vinywaji baa, maarifu kama barmedi. Wale vijana wakaanza kuimba "Bora nijipende mwenyewe, bora nimpende mama yangu" sijui msanii gani ameimba mwimbo huo.

Wale akina dada waliposikia mwimbo huo kutoka kwa vijana hao, haraka wakajibu kwa wimbo mwingine, wakaimba kwa sauti ya juu wakasema: "Wanaume wameumbwa mateso kuhangaika". Ilikuwa ni burudani ya aina yake, lakini ilinipa ujumbe mzito.

Karne ya saba Uislamu ulikuja na maoni kama hayo, japo watu wamagharibi kwa muda mrefu wamepiga kampeni kupuuza sheria ya mirathi katika Uislamu.

Katika sheria ya mirathi ya Kiislamu anapofariki mzee kijana wa kiume anapata mara mbili, na dada yake anapata mara moja. Ukiangalia sheria hiyo kwa jicho la kengeza utaona mwanamke ananyimwa haki katika mirathi, swali ambalo watu wengi wanauliza kwa nini mtoto wa kiume apate mbili na dada yake apate moja?

Wasomi katika dini hiyo mara kadhaa hujibu, anapofariki baba jukumu la uangalizi wa dada hubaki kwa kaka yake, hata kama dada ameolewa, au ana kazi yenye mshahara mkubwa kuliko kaka yake, lakini uangalizi wa dada bado upo chini ya kaka yake mwenye kipato kidogo. Dada anapoachwa na mumuwe jukumu la uangalizi humuangukia kaka. Ni wajibu wa kaka ahakikishe dada amekula, amevaa na amelala sehemu nzuri mpaka atakapo olewa.

Utaona kwa uwazi kabisa kuwa iwapo kaka na dada watagawana sawa katika mirathi, kaka ndiye atakayepunjwa. Ili wawe sawa sheria ikaona bora kaka aongezewe kiasi, utaona kiasi kilichozidi kaka amekihifadhi tu kwa ajili ya matunzo ya dada yake.
 
Hoja fikirishi hii.Umewaza mbali sana,no wonder wanawake wanaishi muda mrefu kuliko sisi,just imagine tuna take risk muda mwingine tunaishia kufungwa au kuuawa kabisa.Jela tuna nafasi kubwa ya kuingia kuliko wao.
 
Kitu nashangaa hawa wanawake hata hapa bongo wapo wanaopata pesa labda wabunge au wanafanya kazi mpaka nje ya nchi ,pamoja na wingi wao ila hawana maendeleo kuanzia kuwa mabillionea .

Utasikia wanawake wapambanaji ila hamna cha maana na wala maendeleo hayaonekani zaidi ya nyodo tu.
Wanashindana kujipamba na kunukia vizuri baaaasi, na gari zuri la kutembelea
 
Mkuu hoja yako inanikumbusha siku Moja nilikuwa napita sehemu wanapojenga mafundi, mara wakakatisha mabinti watatu wanao saidia kugawa vinywaji baa, maarifu kama barmedi. Wale vijana wakaanza kuimba "Bora nijipende mwenyewe, bora nimpende mama yangu" sijui msanii gani ameimba mwimbo huo.

Wale akina dada waliposikia mwimbo huo kutoka kwa vijana hao, haraka wakajibu kwa wimbo mwingine, wakaimba kwa sauti ya juu wakasema: "Wanaume wameumbwa mateso kuhangaika". Ilikuwa ni burudani ya aina yake, lakini ilinipa ujumbe mzito.

Karne ya saba Uislamu ulikuja na maoni kama hayo, japo watu wamagharibi kwa muda mrefu wamepiga kampeni kupuuza sheria ya mirathi katika Uislamu.

Katika sheria ya mirathi ya Kiislamu anapofariki mzee kijana wa kiume anapata mara mbili, na dada yake anapata mara moja. Ukiangalia sheria hiyo kwa jicho la kengeza utaona mwanamke ananyimwa haki katika mirathi, swali ambalo watu wengi wanauliza kwa nini mtoto wa kiume apate mbili na dada yake apate moja?

Wasomi katika dini hiyo mara kadhaa hujibu, anapofariki baba jukumu la uangalizi wa dada hubaki kwa kaka yake, hata kama dada ameolewa, au ana kazi yenye mshahara mkubwa kuliko kaka yake, lakini uangalizi wa dada bado upo chini ya kaka yake mwenye kipato kidogo. Dada anapoachwa na mumuwe jukumu la uangalizi humuangukia kaka. Ni wajibu wa kaka ahakikishe dada amekula, amevaa na amelala sehemu nzuri mpaka atakapo olewa.

Utaona kwa uwazi kabisa kuwa iwapo kaka na dada watagawana sawa katika mirathi, kaka ndiye atakayepunjwa. Ili wawe sawa sheria ikaona bora kaka aongezewe kiasi, utaona kiasi kilichozidi kaka amekihifadhi tu kwa ajili ya matunzo ya dada yake.
Umeongea ukweli kabisaa.
 
Wewe kama umeshindwa kumkontroo huyo mke wako ni wewe...sisi wengine ATM card zao tunatembea nazo mfuko wa shati daily
Unatembea nazo kwan zako? Ulimsomesha wewee?
Huu uchuro aliuleta shemeji kwa dada,
Mbna alikomaa, aliambiwa unajua ada yake ilikua inalipwaje?.

Huyo mkeo ni mjinga na mpumbavu
 
Zile kazi ambazo wanaume wangefanya na kuhudumia familia zao ,sasa wanapewa wanwake amboa pesa wanamalizia saluni.
Tunataka equity sio equality ... Equality kila mtu atapata stahiki kutokana na majukumu yake.
Hakuna usawa wa mwanaume na mwanamke duniani (Mungu kwenyewe ndiye muasisi wa hilo).
Wanaume wanatakiwa waishi na wanawake kwa akili.
Mwanaume ni wa kumhudumia mwanamke kiasili hata kama ana kazi au cheo kumzidi (kazi au cheo chake kinatakiwa kitumike kumdhibiti kwa akili),
Wanawake wote wanadhibitika kufuata maelekezo ya mwanaume kiasili. Ukiongozwa na mwanamke (kifamilia au kikazi) kuna uwezekano mkubwa sana wa kuwepo maelekezo ya mwanaume mwingine.
 
Mke wangu ni mwalimu lakini hela yake anaona haistahili kutumika yote kwenye familia. Kule jeshini wakati tuko kwa mwaka mmoja kwa mujibu wa sheria baada ya kumaliza form 6 tulikuwa tukilipwa wote wake kwa wanaume sh, 300 (kichele) kila mwezi, lakini siku ya malipo wanawake wanaomba matumizi kutoka kwa wanaume. Nilikwenda nje ya nchi kusoma pamoja na wanafunzi wengine wa kike, tulikuwa tunapewa wote pesa ya kujikimu (stipend) kila mwezi, lakini baada ya kulipwa wanafunzi wa kike wanataka uwape hela yako pia kusaidia hiki na kile. Hali hii inawafanya wanaume wajiingize kwenye rushwa, wizi, na uhalifu mwingine au kufanyakazi zaidi za ziada na hatarishi kuliko wanawake ili kuziba pengo linaloporwa na wanawake.

Hali hii inashangaza sana wanaume wengi, sio mimi tu lakini dunia nzima. Hata ulaya na marekani nimeikuta hali hii pia. Kule Marekani hata leo hii kwa kazi hiyohiyo mwanaume huwa analipwa zaidi kuliko mwanamke, nikawauliza kwanini wanawake wenye sifa sawa (elimu, ujuzi) za kazi walipwe pungufu kuliko wanaume? Professor wangu akanijibu kuwa wanawake huwa wanafidiwa na wanaume kwa njia mbalimbali, hivyo ili kupunguza uhalifu kazini wanaume wanalipwa zaidi kuliko wanawake.

Hapa Tanzania, mwalimu analipwa shilingi ngapi kwa mwezi? je, pesa hiyo anayolipwa inamfikisha mwisho wa mwezi? kama haimfikishi anatoa wapi pesa ya ziada? Jibu ni kwamba, wafanyakazi wa kike wanafika mwisho wa mwezi kwa kuwategemea wanaume wao na wanaume wao wanafika mwisho wa mwezi kwa wizi, rushwa, ufisadi au kufanyakazi za ziada. Hii ni sawa na kusema wanaume wanaumia zaidi, ni wezi zaidi, ni wala rushwa zaidi na hawafanyi kazi za mwajili wao zaidi kuliko wanawake. Kwa njia nyingine wanawake ni waaminifu zaidi kazini na ni wachapakazi zaidi kuliko wanaume makazini. Mwl wa kike anaeuza karanga na pipi darasani amekosa mwanaume wa kumfidia alichopungukiwa.

Wanaume walipwe zaidi kazini kama tunataka kuzuia rushwa, wizi, ufisadi na kuboresha uchapakazi mahali pa kazi. Vinginevyo polisi wa kiume hata ufanye nini atajiingiza kwenye vitendo vinavyokatazwa na mafundisho ya kazi yake tu hata umfanyeje. Ni upuuzi kuacha kula rushwa wakati hujui watoto watakula nini, watasomaje, watavaaje, na mkeo atakuomba nini umsaidie.
Ndio Maana tunakufa mapema.

Siku hizi Ishi unavyoweza acha kujikataa sababu ya Kuridhisha Wanawake.
 
Hakuna usawa wa mwanaume na mwanamke duniani (Mungu kwenyewe ndiye muasisi wa hilo).
Wanaume wanatakiwa waishi na wanawake kwa akili.
Mwanaume ni wa kumhudumia mwanamke kiasili hata kama ana kazi au cheo kumzidi (kazi au cheo chake kinatakiwa kitumike kumdhibiti kwa akili),
Wanawake wote wanadhibitika kufuata maelekezo ya mwanaume kiasili. Ukiongozwa na mwanamke (kifamilia au kikazi) kuna uwezekano mkubwa sana wa kuwepo maelekezo ya mwanaume mwingine.
Usawa umebaki kwenye Theory tu. Hata wanaopiga Chapuo ni Mitandanoni tu not practical
 
Hoja fikirishi hii.Umewaza mbali sana,no wonder wanawake wanaishi muda mrefu kuliko sisi,just imagine tuna take risk muda mwingine tunaishia kufungwa au kuuawa kabisa.Jela tuna nafasi kubwa ya kuingia kuliko wao.
Fikiria kuwa pale mnafurahishana na kuburudishana wote lakini baada ya pale mwanaume ndiye atalipa hela yote ya guest, chakula, vinywaji, usafiri na kumhomga tena pesa ya matumizi. Nenda mahotelini, baa, kumbi za starehe, ni wanaume ndio wanatoa pesa kugjaramia kila kitu. Ndio maana ukifika Marekani wanaume ndio wanaolipwa zaidi tangu zamani hadi Sasa.
 
Back
Top Bottom