Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,312
- 94,221
Ni wajinga sn, ndiyo maana wanabaki na maisha magumu pindi wakiachana na wanaumepesa yao nyingi inatumika kusaidia watu wa kwao na kurubuni/kufitinisha watoto dhidi ya baba yao. Anataka watoto wajue kwamba kazi ya kuwatunza ni ya baba pekee. Kama akinunua nyama anahakikisha kuwa watoto wanajua kuwa baba hakutoa hela ya chakula, hela ya ada, hela ya kununua nyama, nk