Kiukweli kuna hili jambo linanikera sana.
Mama yangu ni mswahili baba Irish/dutch nakuna haya machache yanayonikera kwenye blog ya mdada mmoja wa TZ kaolewa na Caucasian .
Huwa kwa asilimia kubwa anachoongelea nikwamba wanaume wakibongo huwa niwadanganyifu sana kwenye ndoa [kutembea nje za ndoa na wanawake wengine].
Mimi nimeishi Africa na Europe nanimeona ndoa nyingi za watu wa Europe ambazo zilivunjika kwa wanaume wakizungu kwenda nje ya ndoa.
Mpaka sasa siamini kwamba ni wanaume wakiafrica tu ndio wanaoenda nje ya ndoa.
Hivi kwenda nje ya ndoa nikutokana na rangi au ni tabia ya mtu?
Kama ni rangi ya uafrica mbona Europe kuna madanguro mengi tu? na wengi wa wateja sio kwamba wako single?.
Mama yangu ni mswahili baba Irish/dutch nakuna haya machache yanayonikera kwenye blog ya mdada mmoja wa TZ kaolewa na Caucasian .
Huwa kwa asilimia kubwa anachoongelea nikwamba wanaume wakibongo huwa niwadanganyifu sana kwenye ndoa [kutembea nje za ndoa na wanawake wengine].
Mimi nimeishi Africa na Europe nanimeona ndoa nyingi za watu wa Europe ambazo zilivunjika kwa wanaume wakizungu kwenda nje ya ndoa.
Mpaka sasa siamini kwamba ni wanaume wakiafrica tu ndio wanaoenda nje ya ndoa.
Hivi kwenda nje ya ndoa nikutokana na rangi au ni tabia ya mtu?
Kama ni rangi ya uafrica mbona Europe kuna madanguro mengi tu? na wengi wa wateja sio kwamba wako single?.