hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
wengine tunapenda vidogo kuliko dole gumba,vina raha yake ati.....mimi hii mitarimbo wala siipendi.....l.o.l:hand:
:bange:
wengine tunapenda vidogo kuliko dole gumba,vina raha yake ati.....mimi hii mitarimbo wala siipendi.....l.o.l:hand:
yupo mmoja anaitwa shabani,anaongea kiswaz wewe mwenyewe umesingiziwa.usishangae akikuomba hifadhi hata kama kijijini poa tu ataishi.
:bange:
hahahahaaaa babu k unakesi nimepaliwa,chanzo wewe....
wengine tunapenda vidogo kuliko dole gumba,vina raha yake ati.....mimi hii mitarimbo wala siipendi.....l.o.l:hand:
teh teh swala la keshi sahau,at least ana bito yake moja mbofu mbofu na ni mweupe kama hao,mtaji tosha huo kijijini kwenu huko.ntampataje jamani?sijawahi muona hapa MMU?kama ATM haiko vizuri apotee tu,mi nataka anitoe kijijini yeye anataka hifadhi huku???:A S 13:
hakimu nitakuwa mimi Shosti mpenzi....:blah:
There are so many losers in this world, and sometimes it is so tempting and easily to become their followers, regardless where they lead!Mange kiboko,yaani anafanya watu waone kuwa ukiwa na mzungu maisha yananyooka,unaenda paradiso,haonyeshagi the other side of wazungu,watu wanaolewa na mijizee ya kizungu wakitamani kuwa kama Mange wasijue bahati ya mtu si yao!!!!
Michelle maskhara hayo,adha yake isikie kwa jirani unaweza kuwa kichaa.:hand::hand:
teh teh swala la keshi sahau,at least ana bito yake moja mbofu mbofu na ni mweupe kama hao,mtaji tosha huo kijijini kwenu huko.
sasa Shosti wataka wao wasipate wenzao au?mi nafanya roho nzuri tu hapa mwenzio,nitalipwa na muumba....l.o.l
mmmhhh nimeghairi,mwambie ajitahidi kidogo eti....:decision:
hahahahaa vinatishaga bora uzae na ngozi tu:rain:kujitahidi si atatundika hako ka-mulato hapo japo kaonje mlenda na kunde za kikwenu.na wewe ujidai kama wenzio.:wink2:
Joyce na babake mkubwa
kujitahidi si atatundika hako ka-mulato hapo japo kaonje mlenda na kunde za kikwenu.na wewe ujidai kama wenzio.:wink2:
wewe kwa utafiti upi uliofanya hadi ukaweka hii thread hapa??kuna utofauti wa wewe unavyoona na wengine wanavyoona,na mi sizungumzii navyoona bali hali halisi...........katika maelezo yangu sikumaanisha huko Europe hawatoki ila levels za kutoka nje ya ndoa zinatofautiana kati ya Europe na Africa na utafiti nimeufanya......najua nachosema!!!
tatizo ninaloliona mie kwa afrika ni kwamba, wakitoka nje ya ndoa wanazaa na kuzaa (most of them) na ndio maana inaoneka kama wao ndio watokaji sana wa nje ya ndoa, wazungu wao wanafanya kwa starehe lkn hawazai ( most of them) hayo ni maoni yangu tuu
Mange kiboko,yaani anafanya watu waone kuwa ukiwa na mzungu maisha yananyooka,unaenda paradiso,haonyeshagi the other side of wazungu,watu wanaolewa na mijizee ya kizungu wakitamani kuwa kama Mange wasijue bahati ya mtu si yao!!!!