babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,086
- 15,980
Nadhani itakuwa sahihi zaidi ukisema kwamba hata wanawake wa kiafrika na hasa wa kitanzania (sio wote) wanakwenda sana nje ya ndoa zao. Hili lina -apply kote kote
aisee hapa nakuunga mguu,usipoanza wewe ataanza yeye,sasa sijui tufanyeje:hand: