gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
kuna huyo mchagga mmoja niliwahi toka naye, ukimwambia bby luv u kwenye simu, saa hiyo hiyo utasikia hivi ilie m-pesa nilikutumia umpe mrosso imefika?? mwambie apakize mbao nazitaka leo leo! namwambia bby basi nijibu, utasikia bana ee ile nilikwambia siku nakutongoza inatosha! nakutumia pesa baadae, kwaheri! lol! yalinishinda na pesa zake nikamuachia khaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! lol
shostito umeamua kuumbua kabaisa hapa? lolest! wachaga wanajua bana hasa ukimkuta aliyepata exposure yaani ni watam kwa bed na kwenye kucare