stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,826
- 22,934
Juzi kati tulikuwa na jamaa tuna discuss mambo ya kikubwa,tukafikia topic ya kabila gani Tanzania ni mafundi kwa mapenzi ya Kitandani,wengi waliishia kusema kuwa wanaume wa Tanga ni mafundi sana,kuna ukweli wowote katika hili jamani?Hili nadhani tunaweza kuchangia wote yaani wanaume kwa wanawake,karibuni.