Wanaume Tubadilike

"Mama Suuuuu hodi nifunguliee mlango hiii hiii"
Aloo huko mjini Kuna mambo mengi sana
Mkuu 😊 jamaa may be atakua anapewa ma style ya vijana kama popo kanyea mbingu au teke la nyau au mama Samia kauza bandari..
Niliwasikia vijana wana ambiana nika staajabu zitakua style Gani izo?!
 
Kweli Dunia inaenda Kasi Na Inapata Watu wapya kila siku na Wengine wanasepa Kila leo…!!Kero kubwa ambayo inaboa kila uchwao kwa kizazi hiki ni Mwanaume KULIA..

Inatafsiriwa kuwa mwanaume ni mtu ngangari,Mpambanaji…Ila Leo hii imekuwa tofauti mwanaume alia sana mbele za watu,Kitu kidogo michozi..

Miaka ya nyuma kuona Chozi au kilio cha mwanaume ni inshu sana hata baba zetu tulikuwa tunajiuliza ivi wanalia kweli? walikuwa ngangari sio kwenye misiba wala kwenye mambo mengine huoni chozi ila macho tu huwa mekundu kama mambo ya red eyes..

Wanaume wa siku izi hata akinyimwa unyumba atalia kila mtu atajua,Sio kwenye mitandao hata kwa watu wake wa karibu….!Kukitokea msiba ndio Kabisaaaa Atalia Huku kashikwa na watu….Zamani kila kitu kilikuwa kificho,Kuanzia ngono na mambo mengi ya kutia aibu..

Jana mpangaji mwenzangu kaa njee ananiita na kuniadithia huku analia anasema hamuelewi mke wake hampi utamu Kama zamani,Nilitamani kumpiga konzi Yani swala Kama Hilo unashindwa kutatua unalia…Kwishinei

Zamani Chozi la mwanaume halionekani ovyoo,Chozi la mwanaume linafichwa na akilionesha watu wanaogopa wanasema Leo kimbembe hapa…Leo hii jitu linalia tu,Kajikwaa analia,Kanyimwa utamu alialia,Kafukuzwa kazi analia…

Sio kwamba zamani mababa zetu walikuwa hawalii nop Ila analia anapapopajua Akija macho mekundu anatatua tatizo…Ndio mana Zamani hata filamu humuoni mwanaume akilia ovyo Ila siku izi GABO analia Kama demuuuu vilee…

,Mke wangu huwa ananiuliza ivi ushawahi kulia cuz hajawahi nionaga na izo pigo japo napitiaga changamoto Ila sipaswi kumuonesha chozi langu Atanidharau…

Kuna mijinga mingine ikikojoa pia inalia inapiga mikelele,Kuna mmpangaji mwenzangu akipizi huwa anamwambia mke wake “Mama Suu Hodiiiiii Nifungulieeee Nakuja mke wangu hiiii hiiii” Yani ujinga ujinga tu..
Bro dunia imekwenda siku hizi kala kitu ni umayai tu.
Mwanaume anamvisha pete mchumba wake analiga magoti na anashika uso. Mambo mengne ya hovyo
 
Nianze kutunza mambo kifuani eti kisa uanaume mwisho nife na mastress aaagh hapana aise siwezi .

Lolote likinikuta ni mwendo wa kutoa machungu kwa kilio tu mpaka nijihisi ahueni haijalishi kuna watu au hawapo mimi ni kilio tu .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Aliyekwambia ukilia ndio unatoa stress nani?
Kuondoa stress ni ww mwenyew kukubaliana jambo linalo kusumbua. Hata kama ni tatzo zito kubali kuwa hyo ni sehemu ya maisha yako ambayo Mungu alipanga kuwa utayapitia sasa ni ww kulitatua.

Kwani wanawake wangapi wakipgwa chini wanalia na bado wanazidi kupauka kwa stress?
 
Kwahiyo ww hulali unawasikiliza baba suu na mama suu.?? 😂😂😂
Ndiomana Tanesco wanatukatia umeme wanavyotaka wao na hatuna cha kuwafanya
Hata ingekuwa wewe usingelala 😂 Mwanaume gani anasema KUMBE NI TAMU Yani Kama kapewa Leo wakati katika Ndoa wapo miaka kadhaa…
 
Mkuu 😊 jamaa may be atakua anapewa ma style ya vijana kama popo kanyea mbingu au teke la nyau au mama Samia kauza bandari..
Niliwasikia vijana wana ambiana nika staajabu zitakua style Gani izo?!
Sasa Mama samia kafanyaje mkuu 😂😂
 
Bro dunia imekwenda siku hizi kala kitu ni umayai tu.
Mwanaume anamvisha pete mchumba wake analiga magoti na anashika uso. Mambo mengne ya hovyo
.
Mkuu unemaliza...Wanawake ndio wana shida ya kuolewa so wao ndo wapige magoti wamebahatika kupata bwana.
.
Huwa nashangaa sana nikiona mwanaume anapiga magoti kumvalisha pete mwanamke. Seriously??!
.
Tunawapa wanawake too much attention ndio maana wanatupanda vichwani. Hata humu jukwaani, nyuzi za wanaume kuwasifia wanawake ni nyingi mnoo kuliko za wanawake kusifia wanaume.
 
Back
Top Bottom