wanaume tu ndo wasome hapa........

Mtoa mada naomba nieleweshe.. Kama responsibility za huyo baba ikiwa la msingi ni kulea familia yake ipasavo ni kutoa sadaka, zile sadaka stahili alizo amrisha Mwenyezi Mungu zitakuwa kundi gani? Mie nahisi umechanganya... hayo ulioorodhesha ni obligations zake na wala si sadaka. Labda kama natambua neno sadaka tofauti na wewe..
 
Kweli hata mimi sijamuelewa anaposema ndiyo sadata...au mwenzetu sadata unaielewaje?
 
Dalili zinaonesha mwanaume mwenzetu kapatikana na sasa anajuta otherwise mtoa mada funguka vizuri watu tukuelewe tusijeiendea njia uliyopita yakatukuta ya kutukuta...
 
Naunga mkono mkuu, bila ya ubishi huu ni ukweli kabisa.

Kuna thread inayohusu wanawake walio kwenye ndoa na kuwa wachoyo na wabinafsi hata maji ya kunywa hawawezi kumpa mgeni. Nilicomment ni maskini wa nafsi na mafukara nikidhamiria kuwa hawafahamu chochote kuhusu hiki ulichokitoa wewe live.
 
tatizo watu wengi wanajua sadaka ni peda tu....hata material things ni sadaka,.,moyo wa huruma na upendo nayo ni sadaka..kwa kuwa huwezi kumfanyia mtu jambo jema mpaka uwe na huo moyo...
 
kama we nin mwanaume na umeoa na mungu kakujaaalia watoto au hata kama bado basi fahamu kuwa unapoipatia familia yako mahitaji ya muhimu...au chochote unachofanya kwa ajili ya familia yako basi fahamu kuwa kufanya hivo unakuwa unatoa sadaka na tegemea malipo kutoka kwa muumba wako...kwa wale wasiopenda kuihudumia familia mnakosa mengi ......ni hayo tu.

Smarty nimechungulia usinichape plziiiiii.. Kula 5 mwana wani, ushauri mzuri kwa wahusika.
 
Kutunza familia ni wajibu kwa kila aliye na familia wala si kutoa sadaka, maandiko matakatifu yanamlaani anaetelekeza watu wa nyumbani mwake na yanambariki anaewatunza watu wa nyumbani mwake
 
He sasa ndio iwe kwa wanaume tu????.....kwani wanawake hawatakiwi kuzihudumia familia zao?......afu kwa taarifa yako kwenye hii dunia tenda wema kwa kila mtu kwa kadiri ya uwezo wako na malipo yake utayapata......huduma sio kwa familia tu bali kwa yeyote anae ihitaji na wewe unao uwezo huo basi fanya na Mungu atakulipa siku isiyokuwa na jina! .... tenda yale yanayompendeza Mungu afu sahau!

amesema kwa wanaume tu,sweetlady imekuaje umeingia umu
 
mwanaume ndo ana jukumu la kumpatia mkewe chakula malazi na mavazi mkewe.....ndo maana wanasema kumtunza mume ni kazi ila kumtunza mke ni kazi zaidi.....

Katika maisha ya sasa, majukumu ya wanawake na wanaume katika kuhudumia familia yanafanana sana...Take it or leave it
 
pole kwa yaliyokukuta...hayo matatizo ya kupenda images.....
hakuna lililowahi kunikuta katika hayo mie nilichagua jina jema la YESU KRISTO so kanipa mume mwema sana wala sina matatizo hayo...ila nasema kama mwana sayansi ya jamii niki refer research zilizofanyika kama uko interested nitakutumia publications hizo. Na sio wote wame penda image hata wakutwe na hayo usiagyu kisokoni.....uko kwenye jukwaa la great thinkers tumia akili yako vema kufikiri kabla ya kuandika..... wewe huenda huna image na familia hutunzi vile vile?

liwalo na liwe
 
Sadaka?Are u serious?Lazima i mean lazima umhudumie mwanao na hutalipwa kwa jambo hilo.Na usipoihudumia familia yako lazima upate kibano!
 
He sasa ndio iwe kwa wanaume tu????.....kwani wanawake hawatakiwi kuzihudumia familia zao?......afu kwa taarifa yako kwenye hii dunia tenda wema kwa kila mtu kwa kadiri ya uwezo wako na malipo yake utayapata......huduma sio kwa familia tu bali kwa yeyote anae ihitaji na wewe unao uwezo huo basi fanya na Mungu atakulipa siku isiyokuwa na jina! .... tenda yale yanayompendeza Mungu afu sahau!

Jamani huyu mwenzetu kasema wanaume tu ndo wasome hapa!sasa nyie mnasoma kwn n wanaume??!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom