Wanaume na ndoa!

Tatizo kubwa ni kuwa 'NABII' huwa hakubaliki nyumbani kwao.
Ushauri wa bure ni kuwa angalia Signature ya bht na uifanyie kazi.Utakuja vunja nyumba yako siku moja kwa mambo yasiyo ya msingi(kama hiyo red unamaanisha).......
Kumbuka kuwa mshiki wa mwaka 2010 sio mshiki wa mwaka 2020.Kuna mabadiliko mengi sana yatatokea ,kimwili,kiroho,kiafya,kiakili,kisaikolijia,kinafsi n.k.
Narudia tena hili nilisema jana.Wanaume mmeambiwa muishi kwa akili na wake zenu........

kwa mfano ungekuwa mrs wangu,dah HAKI-A-NANI MI NGEKUACHIA NYUMBA naenda kupanda chumba kitunda
hhehehe!
hivi kumbe tulikuwa kwenye m'pambanoo wa arguments?
haya mama.....
tachukua akili zangu TAZICHANGANYA NA ZA KWAKE....!then tutafika tu....!
mkuu una mathiori mengi kweli ku-mukichwa...!mwenzio memori kadi angu a kichina bana....!
halafu hapo kwenye redi nimesahau hivi nilianza na neno KWA MFANO?
 
huyu mwanamke atumie busara za ziada kujua tatizo, tuache uongo ndoa iliyohalalishwa ina umhimu wake sana.

the thing is why wait mpaka leo hii kama kuna umuhimu??? au umuhimu umekuja tu sasa na si kabla ya hapo??

people why do we do this to ourselves?? ni kuwa hatuelewi madhara yake au tunaogopa kuchelewa au ...........?????
 
the thing is wny wait mapaka leo hii kama kuna umuhimu??? au umuhimu umekuja tu sasa na si kabla ya hapo??

people why do we do this to ourselves?? ni kuwa hatuelewi madhara yake au tunaogopa kuchelewa au ...........?????
:tongue1::tongue1::tongue1::tongue1:
 
wanaume wana asili ya ubishi.....................................miaka 10 hujaona umuhimu wa ndoa uje uuone leo?! ndio maana hataki..............kachukulia kuwa upuuzi...lol
 
wanaume wana asili ya ubishi.....................................miaka 10 hujaona umuhimu wa ndoa uje uuone leo?! ndio maana hataki..............kachukulia kuwa upuuzi...lol

hata ningekuwa mimi ningeipotezea tu....
 
BHT labda kaona mwenendo wa baba kwa sasa sio mzuri/haueleweki ndio mana anajihami, hata kama mnasema ni mke wake halali lakini huyu baba anaweza kuoa bila pingamizi kubwa kutoka kwa huyu mkewe, au hapa unasemaje?
 
wanwake tunapenda kujitia matatizoni .................kama wanaume wanavyosema ...girls love drama

miaka inaenda hujataka kuoana..........leo unakumbuka!
utaenda ku fall in love na kivuli .....mtu humjui hakujui................akikuharibia maisha utalalama!
utampa mtu tigo ............just kwa kuwa unaogopa atakukimbia!

if we dont take a hold of our lives who will?!
 
haa kaka! mbona hivyo tena,...kwanini hamjiamini/hamtuamini?

Mtu anauamini moyo wake tu! Haya mambo mengine ni kuishi kwa matumaini tu kwamba labda huibiwi au unaibiwa kidogo tu! Muda pekee unapoweza kuamini kuwa hapa hakuna mtu wa kukusumbua/kukuibia ni pale mnapokuwa pamoja home, tena usiku, chumbani na milango yote imefungwa. Akiinigia mtu basi huyo ni Yesu au Popobawa!
 
the thing is why wait mpaka leo hii kama kuna umuhimu??? au umuhimu umekuja tu sasa na si kabla ya hapo??

people why do we do this to ourselves?? ni kuwa hatuelewi madhara yake au tunaogopa kuchelewa au ...........?????

bht si kwamba umuhimu umekuja leo, kama ukisoma maelezo yote utaona mazungumzo ya ndoa hayakuanza leo after 10yrs! yalikuwepo na yanaendelea, mwanaume hajaona kama ndoa ya kanisani ina umuhimu wowote, kosa lilishatokea wakaishii pamoja
 
Mtu anauamini moyo wake tu! Haya mambo mengine ni kuishi kwa matumaini tu kwamba labda huibiwi au unaibiwa kidogo tu! Muda pekee unapoweza kuamini kuwa hapa hakuna mtu wa kukusumbua/kukuibia ni pale mnapokuwa pamoja home, tena usiku, chumbani na milango yote imefungwa. Akiinigia mtu basi huyo ni Yesu au Popobawa!

sasa kaka nitoke nje ya topic kidunchu, kama ni kweli umemuacisha kazi kwa ajili hiyo, wewe humuibii/humchezei rafu huko makazini?
 
bht si kwamba umuhimu umekuja leo, kama ukisoma maelezo yote utaona mazungumzo ya ndoa hayakuanza leo after 10yrs! yalikuwepo na yanaendelea, mwanaume hajaona kama ndoa ya kanisani ina umuhimu wowote, kosa lilishatokea wakaishii pamoja

basi ndio kosa....hata mimi nimeongelea sana hilo kosa tunalofanya ndio linafanya watu wasione umuhimu wa viapo vya ndoa

unavuna ulichopanda
 
BHT labda kaona mwenendo wa baba kwa sasa sio mzuri/haueleweki ndio mana anajihami, hata kama mnasema ni mke wake halali lakini huyu baba anaweza kuoa bila pingamizi kubwa kutoka kwa huyu mkewe, au hapa unasemaje?

katika wote naona kama ww umeilewa zaidi post yangu, wengi wanalaumu zaidi mama bila kufikiria kuna circumstances zinachangia watu kuishi pamoja kwa matumaini watapanga ndoa ya haraka lakini mmoja anaamua kutoa sababu kila cku mpaka wanajikuta wamezoea hiyo hali na hata ndugu wansahau kama awana ndoa, wengi wanafikiri mama amekurupuka tu na kudai ndoa gafla
 
BHT labda kaona mwenendo wa baba kwa sasa sio mzuri/haueleweki ndio mana anajihami, hata kama mnasema ni mke wake halali lakini huyu baba anaweza kuoa bila pingamizi kubwa kutoka kwa huyu mkewe, au hapa unasemaje?


bila pingamizi huh!!! inawezekana dearest!!! Do we even know our own rights.....achilia mabali wajibu!!

atabaki analialia tu kumbe hajui yeye ndo mke na anweza kusitisha ndoa nyingine kufungwa au lah huyo atakayeolewa awe mke mdogo (kulingana na imani ya mtu)

why cohabit in the first place???? wanawake siye laiti tungejua sisi ndo wenye hasara tukifanya hivo kamwe tusingethubutu
 
sasa kaka nitoke nje ya topic kidunchu, kama ni kweli umemuacisha kazi kwa ajili hiyo, wewe humuibii/humchezei rafu huko makazini?

Mhhhh, dada ngoja kwanza nikapate supu. Nahisi kuishiwa na glucose kichwani!! Hiyo topic tuiweke kiporo, DC ni mjukuu wa Saint!!
 
basi ndio kosa....hata mimi nimeongelea sana hilo kosa tunalofanya ndio linafanya watu wasione umuhimu wa viapo vya ndoa

unavuna ulichopanda

mhh leo umekaba kweli kweli, hata mie nachukia mwanamke anaejiweka kama nyanya za nyongeza! lakini hapa kashafanya kosa for 10yrs sasa anastahili jamani kamuelekeo kidogo, na huyo baba c kama ameridhika nae mpaka wapo hadi sasa!
 
kwa mfano ungekuwa mrs wangu,dah HAKI-A-NANI MI NGEKUACHIA NYUMBA naenda kupanda chumba kitunda
hhehehe!
hivi kumbe tulikuwa kwenye m'pambanoo wa arguments?
haya mama.....
tachukua akili zangu TAZICHANGANYA NA ZA KWAKE....!then tutafika tu....!
mkuu una mathiori mengi kweli ku-mukichwa...!mwenzio memori kadi angu a kichina bana....!
halafu hapo kwenye redi nimesahau hivi nilianza na neno KWA MFANO?

Hapo kwenye red nime-do ze nidful.kakague.
 
katika wote naona kama ww umeilewa zaidi post yangu, wengi wanalaumu zaidi mama bila kufikiria kuna circumstances zinachangia watu kuishi pamoja kwa matumaini watapanga ndoa ya haraka lakini mmoja anaamua kutoa sababu kila cku mpaka wanajikuta wamezoea hiyo hali na hata ndugu wansahau kama awana ndoa, wengi wanafikiri mama amekurupuka tu na kudai ndoa gafla

zipi?? mbona haikupangwa na haraka ikageuka kuwa 10 yrs??? mie sijamhukumu mama lakini simtoi hatiani asilani. wote wana makosa lakini unadhani madhara makubwa ya hii kitu yanampata nani??
 
Back
Top Bottom