Wanaume na ndoa!

Mom kumbe mnaishi wote....tayari wewe ni mke sasa kukuoa si formality tu kwani kuna la ziada atakalo pata hapo ??

kweli sheria za Mungu zipo kwa ajili ya kutulinda sisi lakini sijui kwa nini huwa hatutaki kuelewa hivo tuaona ni kama zinatunyima uhuru vile.

matokeo yake ndo haya!!! najaribu kufikiria tungekuwa hatuzini au ku-cohabit, si kila mtu mwenye wito wa ndoa angeingia kwenye ndoa? lakini sasa yule aliye kwenye ndoa hana tofauti na wale ambao wanjifanyia mambo yao informally....so why should one bother??


Afwadhali umekuja! Bwana awe nawe na akulinde hadi milele (sijui milele yenywe inashia wapi)! Hebu tusaidie sisi tunaopata kigugumizii cha kufikiria.

Hapo kwenye hii issue anayoongelea Mom kuna ndoa au haipo? Yaani jamaa anaweza kubwaga mzigo na kujichukulia mchuma mpya bila wasi wasi wa kufikishwa kwenye masanduku ya pilato?
 
ha ha ha ha!
leo nitakutafuta mkuu nije hapo mahala tugawane SALARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII OOOOOOOOH!salari eeehhhh ehhhhh ooohh

ninatafuta salariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ooooooooooooooooooooooh salariiiiiiiiiiiiiiiii

we umeiona???? hebu njoo bana!!!!
 
Afwadhali umekuja! Bwana awe nawe na akulinde hadi milele (sijui milele yenywe inashia wapi)! Hebu tusaidie sisi tunaopata kigugumizii cha kufikiria.

Hapo kwenye hii issue anayoongelea Mom kuna ndoa au haipo? Yaani jamaa anaweza kubwaga mzigo na kujichukulia mchuma mpya bila wasi wasi wa kufikishwa kwenye masanduku ya pilato?

nafikiri nami swali langu lilikuwa hilo kiswahili kigumu sikujua jinsi ya kuliwakilisha
 
Afwadhali umekuja! Bwana awe nawe na akulinde hadi milele (sijui milele yenywe inashia wapi)! Hebu tusaidie sisi tunaopata kigugumizii cha kufikiria.

Hapo kwenye hii issue anayoongelea Mom kuna ndoa au haipo? Yaani jamaa anaweza kubwaga mzigo na kujichukulia mchuma mpya bila wasi wasi wa kufikishwa kwenye masanduku ya pilato?

hhaaaaa shikamoo kaka DC !!! hii sasa kesi unaniuzia wenyewe wenye taaluma yao watakufunga

ila nikwambie kitu ''presumption of marriage'' ni mapak watu wawe wameihi pamoja kwa miaka miwili angalau, kiasi kwamba hata wale majirani wanawajua kama mke na mume!!!
 
@Nyamayao kutangaza nia peke yake haitoshi kunihamishia kwake, tuifunge hiyo ndoa kwanza ndipo nihamie kwake/ahamie kwangu/tuishi pamoja.
 
hahaha!mimi ndo maana huwa naogopa sana wakina mama!
mke wangu akianza tu kunywa damu...SHE WILL HAVE TO GO HOME:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Tatizo lako umekuwa Bingwa wa OTHER MEMBERS POST EDITING CALLING.na sijui kwa nini invizibo huwa anakusamehe sana.una hisa mzee?
Kuhusu Damu ya Yesu,ni muhimu.Yesu aliwaambia wafuasi wake kama wakikataa kula mwili wake na kuinywa Damu yake hawana shirika na Yeye Yoh 6:31-42.
Na kama ukikataa mke wako kunywa damu....... subiri aanze kunywa maji meupe yale(Chang'aa)
 
Nakuja!!!! Ulikuwa wapi Mum? Ingia moja kwa moja ndani!

PSALMS 90-10
Seventy YEARS is all we have, eighty years if we're strong: yet all they bring us is TROUBLE and SORROW; LIFE is SOON OVER, and we're gone.


kwa style hii bora niingie moja kwa moja ndani
 
@Nyamayao kutangaza nia peke yake haitoshi kunihamishia kwake, tuifunge hiyo ndoa kwanza ndipo nihamie kwake/ahamie kwangu/tuishi pamoja.

NOTED with thanks! Hapo umenenaa na lazima niitendee haki hii reply Mum!
 
hhaaaaa shikamoo kaka DC !!! hii sasa kesi unaniuzia wenyewe wenye taaluma yao watakufunga

ila nikwambie kitu ''presumption of marriage'' ni mapak watu wawe wameihi pamoja kwa miaka miwili angalau, kiasi kwamba hata wale majirani wanawajua kama mke na mume!!!

Haya basi (red), .... marahaba!!

Sasa jamani hawa wameshaishi pamoja miaka 10, na watoto 4 juu; wanahitaji ushahidi gani ili watu waamini na kukubali kuwa wako kwenye ndoa? Kama majirani hawajui basi wanawaona na watoto. Huo ushahidi hautoshi jamani, au na hii ni ngumu kama kesi ya Zombe?

Shida ni kuwa watu wanafunuliana kila kitu kwa hiari halafu eti baadaye ndo wanaanza kuona kuwa kuna vitu vinaitwa sijui zinaa, ndoa n.k. Kwa nini hizo dini wasizikumbuke kabla ya hizo match zao za majaribio? Hakika ukimwi ungebakia kuwa simulizi!
 
Tatizo lako umekuwa Bingwa wa OTHER MEMBERS POST EDITING CALLING.na sijui kwa nini invizibo huwa anakusamehe sana.una hisa mzee?
Kuhusu Damu ya Yesu,ni muhimu.Yesu aliwaambia wafuasi wake kama wakikataa kula mwili wake na kuinywa Damu yake hawana shirika na Yeye Yoh 6:31-42.
Na kama ukikataa mke wako kunywa damu....... subiri aanze kunywa maji meupe yale(Chang'aa)
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:!
haya bwana....
mimi damu naogopa

ngoja nikupe mtihani:
niambie ni kwanini BAGAMOYO,SUMBAWANGA,PEMBA,NA KIGOMA tunazigroup pamoja wakati wote tunapoamua kuzielezea?
 
PSALMS 90-10
Seventy YEARS is all we have, eighty years if we're strong: yet all they bring us is TROUBLE and SORROW; LIFE is SOON OVER, and we're gone.


kwa style hii bora niingie moja kwa moja ndani

Leo sikuelewielewi! au macho yangu? DC alivyokuona hewani, akasema afwazali umekuja.. Nami bila ajizi, nimekukaribisha ndani moja kwa moja. TUJUZE, Kwa nini hamtaki kuolewa? Sorry, Kwa nini inakuwa ngumu ukishaingia ndani jamaa anakuwa mgumu kuoa..
 
Haya basi (red), .... marahaba!!

Sasa jamani hawa wameshaishi pamoja miaka 10, na watoto 4 juu; wanahitaji ushahidi gani ili watu waamini na kukubali kuwa wako kwenye ndoa? Kama majirani hawajui basi wanawaona na watoto. Huo ushahidi hautoshi jamani, au na hii ni ngumu kama kesi ya Zombe?

Shida ni kuwa watu wanafunuliana kila kitu kwa hiari halafu eti baadaye ndo wanaanza kuona kuwa kuna vitu vinaitwa sijui zinaa, ndoa n.k. Kwa nini hizo dini wasizikumbuke kabla ya hizo match zao za majaribio? Hakika ukimwi ungebakia kuwa simulizi!

hapo chacha!! (kwenye red)

nimesema presumably mkiishi miaka miwili basi...........sasa hiyo si imezidi miwili DC na watoto juu...ndoa hiyo!! sasa huyo mama saa hizi kumekucha shuka la nini??
 
@Nyamayao kutangaza nia peke yake haitoshi kunihamishia kwake, tuifunge hiyo ndoa kwanza ndipo nihamie kwake/ahamie kwangu/tuishi pamoja.

ndivyo nilivyomaanisha dearest, sasa huyu mwenzangu kakumbuka shuka kumeshakucha.
 
nchi za kimagharibi mkiwa na address moja na ku file tax pamoja tayari mnahesabika familia ......

kuna nchi nyengine ukitaka kuoa mtu mwengine baada ya hapo inabidi ulipe fidia kubwa sana kwa mwanamke ulieishi nae.......hii inazuwia watu kuishi pamoja bila ya mipango halisi ya baade

bongo sheria bado tunasema ni changa
 
Leo sikuelewielewi! au macho yangu? DC alivyokuona hewani, akasema afwazali umekuja.. Nami bila ajizi, nimekukaribisha ndani moja kwa moja. TUJUZE, Kwa nini hamtaki kuolewa? Sorry, Kwa nini inakuwa ngumu ukishaingia ndani jamaa anakuwa mgumu kuoa..

acha uvivu soma posts hii imeshaelezwa!!!

hivi wewe D, umekaa na mwanamke miaka kadhaa pengine hata mkazaa watoto, unapat akila kitu anachostahili kupata mwana ndoa.....utakumbuka mlango wa kanisa au msikiti eti mkafunge ndoa??? Just for the sake of formalizing your living together??

Hivi huyu mnayeishi naye kibudu angelikataa mwanzani kuja kuishi na wewe(wewe ungekataa), mngeona umuhimu wa kufunga ndoa kwanza kama mlikuwa na nia ya kuwa wanandoa!!

sasa kwa nini mtu ahangaike sasa after 10 yrs mloishi pamoja.
 
ok kwa michango ya wengi hapa naona hawa ni wana ndoa halali kabisa, huyu mama hata akiachwa atakaua ameachika tu kama hawa wa ndoa za kanisani wanavyoachana!

Swali la kizushi:- Je hapa JF kuna wanaume au wanawake wanaoshi hizi ndoa informal?
 
ok kwa michango ya wengi hapa naona hawa ni wana ndoa halali kabisa, huyu mama hata akiachwa atakaua ameachika tu kama hawa wa ndoa za kanisani wanavyoachana!

Swali la kizushi:- Je hapa JF kuna wanaume au wanawake wanaoshi hizi ndoa informal?

mweeh!!! haya bana
 
Back
Top Bottom