Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
hee.,,,we mie hayajanikuta.
Hao shua r u kama haumo kwenye basi?
hee.,,,we mie hayajanikuta.
Hizo Costa tatu zinaweza kuchukua watu 500? Ni wiki mbili tu kulikuwa na post hapa za kibinti cha miaka 26 akijisifia keshawabeba wanaume 500 kwa kipindi cha miaka 9.eti unakuta wakaka wanatambiana mie tangu nianze mahucano ya kimapenz na mabinti hadi sasa naweza jaza coasta mbili mwingne anasema ww coasta mbili tu mie najaza mohamed trans tatu..,wat z ths?
let me not be that shua.
wacha wajaze yatawakuta tu wanayoyatafuta tu.
Jinsi wanavyojaza wapenzi ndivyo watakavyojaza magari kwenye msafara wa mazishi.
ma dia 2cusemee moyo..,
2 years