Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,169
Mimi najaza bodaboda moja
Fafanua vizuri bodaboda ambayo imepiga mishikaki
Mimi najaza bodaboda moja
no,he is so smart
Hao sio wanaume ni wavulana banaa! Hebu edit kwanza afu tuanze kuwazodoa mwaya.
utakufa kakaangu
yan ni zaidi ya PHD
Pia kuna wadada wanajidai kwamba idadi ya waume walotembea nao wanajaa meli.eti unakuta wakaka wanatambiana mie tangu nianze mahucano ya kimapenz na mabinti hadi sasa naweza jaza coasta mbili mwingne anasema ww coasta mbili tu mie najaza mohamed trans tatu..,wat z ths?
ma dia hao ninaowasemea ni watu wazima co watoto...wenye miaka 28 hadi 30