limekutachi...
eti unakuta wakaka wanatambiana mie tangu nianze mahucano ya kimapenz na mabinti hadi sasa naweza jaza coasta mbili mwingne anasema ww coasta mbili tu mie najaza mohamed trans tatu..,wat z ths?
Hapana, sihusiki kwa jinsi yoyote katika hilo. Hao uliiowaongelea hapo ni vitoto na inaonyesha ulikatiza sehemu ambapo ulikuta vitoto vya kiume vinasimuliana stori zao, am not of such type.
ma dia hao ninaowasemea ni watu wazima co watoto...wenye miaka 28 hadi 30
eti unakuta wakaka wanatambiana mie tangu nianze mahucano ya kimapenz na mabinti hadi sasa naweza jaza coasta mbili mwingne anasema ww coasta mbili tu mie najaza mohamed trans tatu..,wat z ths?