Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,852
- 16,750
Kumbe ukweli kwa mara ya kwanza ukimwambia demu utamkosa hata muuza maandazi? Lol..!! So kwa mara ya kwanza uongo 90% ukimpata uongo unapungua around 70%, mara ya pili umempata 50% uongo na ukweli 50%, duuhh...!! Mmmmhh, kumbe UKWELI ktk kutongoza ni mbaya? Aisee...!!, nasikia mademu wanagundua baadae kuwa kadanganywa somehow mwanaume kashamjua
inside out, kachakachua, so ukijua ukweli amua moja ubaki au uende, kaazi kweli, wapo mademu wachacheee ukisema uongo wanajua at first tongozo, but wengi wananasa, UONGO at first ni mzuri au? Mmmhh
inside out, kachakachua, so ukijua ukweli amua moja ubaki au uende, kaazi kweli, wapo mademu wachacheee ukisema uongo wanajua at first tongozo, but wengi wananasa, UONGO at first ni mzuri au? Mmmhh