Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Ni kweli kitu lazima ukipete pete ili kutengeneza mazingira mazuri yakuijua chupiz.
KAMA KUNA VIUMBE VINAVYO JUA KUONYESHA VINAJALI MAMBO MAPYA BASI NI HIVI VIUMBE WANAUME. UKIWA UNAANZA URAFIKI, UCHUMBA ETC NA MWANAUME YOYOTE UTAHISI PARADISO YA DUNIANI, LAKINI KADRI MUDA UNAVYO KWENDA AU AKISHA FANIKISHA AZMA YAKE NI HABARI NYINGINE.
Mawindo lazima yapetwepetwe la sivyo chupi yake utaisikia kwa bomba tu!!Huioni ng'o
UKUKIMWULIZA MWANAMKE YOYOTE ALIYE DANGANYWA NA MAARIFA YA HIVI VIUMBE KATIKA ULAGHAI ATAISHIA KUTOA MACHOZI KWANI HAKUWAHI KUFIKIRIA KITU KAMA HICHO KUTOKEA MAISHA MWAKE KUTOKANA NA AHADI, MAPENZI KEMUKEMU YENYE MATUMAINI. LAKINI UKWELI UNABAKIA PALE PALE, WANAUME NI VIUMBE VYA KUTO AMINIWA.
When a man opens a car door for his wife, it's either a new car or a new wife.
Prince Philip, Duke of Edinburgh