Visenti
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 1,025
- 327
BujiBuji, nina angalizo hapo ktk REDWanaume wote wanapenda wadumbukize, wachovyechovye, wamwage sufuria la uji kisha walale.
Unabisha?
BujiBuji, nina angalizo hapo ktk REDWanaume wote wanapenda wadumbukize, wachovyechovye, wamwage sufuria la uji kisha walale.
Unabisha?
mashine yako inakaribia kufa haipigi starter bila kusukumwasasa unafanyaje bila fore play?..mimi bila hiyo sijisikii kabisa
Mi ndo maana huwa naendaga kwa machangu, kule unalipa, unachapa, inalala
Nabisha..wapo wengine wanapenda foreplay kabla ya kudumbukiza..he he
raha jipe mwenyewe!
Heshima mbele mkuu Buji,unakojoa, hukojoi?
Mwambie jamaa aache kuzama chumvini kwani madhara yake ni makubwa kama vile fangasi za midomo na magongwa mengine kibao.Sio kweli na nabisha! Jamaa yangu anapenda manyonyo yangu na hata KUZAMA CHUMVINI! nakataa kata kata, hau wa design yako ni washamba!
suala sio kukojoa au kutokojoa. Hata wewe unajua vyovyote vile mwanaume utakojoa tu. Suala hapa je romance ipo au haipo. Na ukweli ni kuwa romance inawasaidia sana wanawake kuliko wanaume na nadhani ndo msingi wa mada yako. Lakini sio wanaume wote hawafanyi romance. Au kwa mwanamke huyu (umpendaye) wanafanya na kwa mwingine hawafanyiunakojoa, hukojoi?
kama kumwaga ndo msingi wa mada yake angeanzisha thread inayohusu "kama usipofanya romance unakojoa au hukojoi?". Pointi yake ilikuwa kuwa WANAUME WOTE HAWAFANYI ROMANCE na hii sio kweli ingawa wote wanaofanya na kutofanya hukojoa. We kojoa bila romance ukimaliza mkeo anaenda kutafuta romance kwingine na yeye akojoe. Samahani wadau kama lugha itakuwa kali sanaSwali la msingi - kumwaga ndio pointi!
Duh hapa nadhani ni mada nyingine ya usafi kwa sababu watu wanaenda kama kawa na hawapati fangasi, nadhani wa kwao ni wale wasiozingatia usafi ambao ni muhimu ili kufurahia tendoMwambie jamaa aache kuzama chumvini kwani madhara yake ni makubwa kama vile fangasi za midomo na magongwa mengine kibao.
..Mbona hata wao wanasubiri mpaka wewe mwanaume uanzishe kila kitu anasubiri mlambe lambe, uguse guse kwenye K****** yeye anakuangalia tu sana sana kama atasikia handasi inapanda atakuwa anageuka geuka tu bila kutoa ushirikiano mwisho anakuhimiza ingiza basi.Ukisugua dakika 10 mwisho anakwambia amechoka anataka umtapikie huo uji ili alale!!! wengi wavivu na si wabunifu..:mod:Wanaume wote wanapenda wadumbukize, wachovyechovye, wamwage sufuria la uji kisha walale.
Unabisha?