The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Tom Hanks,Jolie,Denzel,Damon,etc wanatoa atmost film moja per year,lakin the great na wenzake,mpaka sasa wanatoa movie kila wiki..znapendwa sana na wanawake na housegirls..Crap
Sijaona watu waliotoa maoni kuhusu "subtittles" za kiingereza kwa zile filamu ambazo zinaonyeshwa kwenye "channels" za DSTV. Kwa kweli zinachefua sana hasa kama unazitazama na watu ambao si Watanzania. Unatamani ardhi ipasuke upotelee huko. Kiingereza kinachoandikwa huko ni Kiswangilishi kitupu. Sielewi kwa nini hawataki kutumia pesa kidogo kupata watu ambao wanajua kiingereza ili wawaandikie hizo "subtitles". Nawaomba sana sana waache Uswahili kwani wanajiadhirisha wao na nchi yetu Tanzania.
mimi ninashangaa ... filamu au cinema a.k.a movies originally inatakiwa iwe kwenye large format na irushwe na kuonyeshwa kutoka kwenye projector katika cinema theater na kuonekana na kuonyeshwa publicly..... halafu baada ya muda ndiyo copy zinapelekwa kwenye DVD's na CD'S ... sasa huku kwetu hawa jamaa wanatoa DVD's halafu siyo original wanaita movie
ahahahaaaaa.Jamani kweli inafurahisha na kuchekesha..lakn Tatizo sidhani kama wanapenda kukoselewa.si ajabu wakaanza kuwekeana bifu kuwa wamedhalilishwa..Ndo wameanza.....ngoja nitafute kavideo nilikaona recently
YouTube - matumizi ya kingereza kwenye filamu zetu..
Wakisikiliza na kuzingatia labda miaka kumi huko na sisi tutakua na filamu za kujivunia!
utakuta mwenye muvi yeye cameraman yeye producer yeye stering nashindwa kuelewa hapo kwakweli inatakiwa wajifunze kutoka kwa wenzao
majina ya kizungu stori ya kiswahili, hili nalo ni tatizo.
tena wanawaza muda wote, mtu anawaza nusu saa nzima.
Tujifunze kutoka Hollywood sio kutoka Nollywood
Zinaniboa, yaani Watanzania wamekosa vitu vya kufanya sasa wanafikiria wizi tu.
Sinema moja kuwa na Part 1 na Part 2 ni wizi, tusikubali kuibiwa, tuache kununua kazi zao hadi hapo watakapo jirekebisha.