Ghost
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 428
- 53
Spot on D,BjBj nimewahi toa jibu hili katika thread moja naona na hapa inafaa badala ya kujirudia...
Ni watu wengi saana ambao huponda sana hizi Bongo Movies kwa kuzilinganisha na za nchi nyingine. Personally napenda saana kuangalia movies lakini nimewahi angalia za kibongo kama tano, nakumbuka tu moja jina I think it goes something like 14 days or 14 weeks (mtanisamehe sikumbuki vizuri).
En ways kitu ambacho nilitaka kugusia ni ukweli ulio wazi kua watanzania weengi lugha ya kigeni yani kiingereza kinatusumbua saana. Hivyo basi hio ilipelekea kua Wananchi wachache sana wa Tanzania walikua wakiketi chini na kukaa kama familia kuangalia filamu, hasa hasa wakijitahidi saana ilikua zinachuliwa picha za ngumi ambazo haziihitaji uelewe lugha bali kujua tu sterling kashinda na hajauwawa... (Enzi za Van Damme, Jacky chain, Arnold...)
Bado naona kiwango cha filamu Tanzania ni kidogo but kweli kwa moyo wa dhati kabisa napongeza wale woote Tanzania walio katika filamu industry kwa kazi wanayofanya kwani ni Wananchi wengi sasa wanoweza kuketi na kuangalia filamu akaelewa lugha na akafurahia. Weakness zao katika hizi picha ni kubwa na nyingi to the extent mtu anae angalia movies toka zamani na kuzoea kuangalia za nje ina kua kazai kweli kuvumili sababu kubwa kwamba movies zetu hazina suspense. I wish ifike a time ambayo hata mimi naenda dukani kutaka movie fulani ya Kitanzania huku nikijua nita enjoy....
Big up watu wa film industry, someni historia za Movie entertainment Bollywood na most importantly Hollywood then tuta observe nao walianza kwa kuchechemea....
Unajua mwanzo mgumu wajameni...sawa makosa na unprofessionalism yapo, but give guys some credit. At least wametufikisha hapa tulipo kutoka kwenye maigizo.... My two cents....input is needed in Professionalism and Script writing! Mambo ya picture quality, Lugha (English), stunts, wardrobe, cast etc....yatarekebishwa with time...This is a work in progress peoples.....:biggrin1: