Wanatuibia:Tuache kununua sinema za KIBONGO

BjBj nimewahi toa jibu hili katika thread moja naona na hapa inafaa badala ya kujirudia...


Ni watu wengi saana ambao huponda sana hizi Bongo Movies kwa kuzilinganisha na za nchi nyingine. Personally napenda saana kuangalia movies lakini nimewahi angalia za kibongo kama tano, nakumbuka tu moja jina I think it goes something like 14 days or 14 weeks (mtanisamehe sikumbuki vizuri).

En ways kitu ambacho nilitaka kugusia ni ukweli ulio wazi kua watanzania weengi lugha ya kigeni yani kiingereza kinatusumbua saana. Hivyo basi hio ilipelekea kua Wananchi wachache sana wa Tanzania walikua wakiketi chini na kukaa kama familia kuangalia filamu, hasa hasa wakijitahidi saana ilikua zinachuliwa picha za ngumi ambazo haziihitaji uelewe lugha bali kujua tu sterling kashinda na hajauwawa... (Enzi za Van Damme, Jacky chain, Arnold...)

Bado naona kiwango cha filamu Tanzania ni kidogo but kweli kwa moyo wa dhati kabisa napongeza wale woote Tanzania walio katika filamu industry kwa kazi wanayofanya kwani ni Wananchi wengi sasa wanoweza kuketi na kuangalia filamu akaelewa lugha na akafurahia. Weakness zao katika hizi picha ni kubwa na nyingi to the extent mtu anae angalia movies toka zamani na kuzoea kuangalia za nje ina kua kazai kweli kuvumili sababu kubwa kwamba movies zetu hazina suspense. I wish ifike a time ambayo hata mimi naenda dukani kutaka movie fulani ya Kitanzania huku nikijua nita enjoy....

Big up watu wa film industry, someni historia za Movie entertainment Bollywood na most importantly Hollywood then tuta observe nao walianza kwa kuchechemea....
Spot on D,

Unajua mwanzo mgumu wajameni...sawa makosa na unprofessionalism yapo, but give guys some credit. At least wametufikisha hapa tulipo kutoka kwenye maigizo.... My two cents....input is needed in Professionalism and Script writing! Mambo ya picture quality, Lugha (English), stunts, wardrobe, cast etc....yatarekebishwa with time...This is a work in progress peoples.....:biggrin1:
 
Spot on D,

Unajua mwanzo mgumu wajameni...sawa makosa na unprofessionalism yapo, but give guys some credit. At least wametufikisha hapa tulipo kutoka kwenye maigizo.... My two cents....input is needed in Professionalism and Script writing! Mambo ya picture quality, Lugha (English), stunts, wardrobe, cast etc....yatarekebishwa with time...This is a work in progress peoples.....:biggrin1:



Thank you that you are in agreement... TZ tumezoea sana kuponda mpaka hua tunasahau huo unaemponda hawezi kua baba bado nikijana mdogo tu wa miaka 10 ila attitude yake ndo ya kiutu uzima..
 
mi sina ubaya nao walipoanza walikuwa very promising,walifikia mapema sana maendeleo waliyofikia lakini kwa mshangao wangu gafla wamesimama hapo hapo walipo hawaendi mbele wala popote.yalikuwa ni matumaini yangu kwa hii technology iliyorahisishwa wangekuwa washapiga hatua kubwa!kumbuka bollywood,hollywood walianza kwa kuchechemea sababu hata technology ilikuwa si kubwa
 
Kuna kijana wa Kibongo anasema eti alichofanikiwa kwenye sinema ni kupata mademu, kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom