tatizo niliokuwa nalo mimi ni kuwa nyingi hazina uhalisia na mtiririko wake haueleweki, mfano kuna sinema moja nilikuwa naangalia wanaonesha mtu amekamatwa na kupelekwa kituo cha polisi, lkn ukiangalia sio kituo cha polisi ila ni nyumba tu ya kawaida, sasa hapa uhalisia uko wapi ? kwa kweli nyingi hazina mvuto,