Habari wana Jf....
Naombeni msaada wenu, mdogo wangu wa kike anamalizia Diploma ya Business Administration anatakiwa kwenda field na amezunguka kweli kutafuta hiyo field but kila ofisi anayokwenda anaambiwa "nikikupatia nafasi ya field wewe utanipa nini.... na wanaouliza hivyo ni watu wazima....., na huyu ni mtoto wa kike wanachotaka hapo ni nini??.. mdogo wangu amekata tamaa kabisa ya kuendelea kutafuta field kwani sehemu kama nne hivi tena nyingine za serikali... majibu ni hayo hayo....
Yupo Arusha na angependelea kupata field Arusha... naombe msaada wenu
Asanteni sana
Naombeni msaada wenu, mdogo wangu wa kike anamalizia Diploma ya Business Administration anatakiwa kwenda field na amezunguka kweli kutafuta hiyo field but kila ofisi anayokwenda anaambiwa "nikikupatia nafasi ya field wewe utanipa nini.... na wanaouliza hivyo ni watu wazima....., na huyu ni mtoto wa kike wanachotaka hapo ni nini??.. mdogo wangu amekata tamaa kabisa ya kuendelea kutafuta field kwani sehemu kama nne hivi tena nyingine za serikali... majibu ni hayo hayo....
Yupo Arusha na angependelea kupata field Arusha... naombe msaada wenu
Asanteni sana