Ile mirindimo ya makombora mazito mazito kama ya Tora Bora sasa imetulia. DRC wanasema angalau sasa kunaonekana "ukimya."
"Ukimya" si amani. Bali kila mmoja atakuwa kwenye kuhesabu wafu wake na kutibu majeruhi.
Matokeo ya vita:
1. Kule kuna kongamano kujadili agenda zenye maslahi makubwa mno ya wananchi limezuiliwa.
"Kwamba, wanaharakati wanapambana na hali yao."
2. Kwingine kuna wanaotakiwa kujieleza kwa msajili wa vyama.
"Kwamba, wahanga wanapambana na hali yao."
3. Wengine (kina ACT, CUF, nk) wamefichama chini ya meza bila shaka wakijisemea:
"Hiiiiiii iii iiii .. !"
4. Ma CCM na bi tozo popote waliko bila shaka wako "full kukenua."
"Mipango yao inakwenda kama ilivyopangwa."
5. Wananchi, walio wahanga wakuu wa mnyukano wa kipuuzi huu usiokuwa na maslahi ila kwa ma CCM, watakuwa wamesukumwa nyuma zaidi kwenye struggle hili lililokuwa tayari linachukua sura mpya dhidi ya adui wa wote.
"Ya kujiuliza, tumefikia je huku? Hivi, ilikuwa lazima? Tuna nini cha kujifunza? Tunayajenga Vipi? Na ya namna hiyo.,"
Hata MV mapenzi, magumu kuliko haya yalitokea. Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi.
Tunaposubiri wenye akili zao kukaa chini na kuyaweka mambo sawa:
"Hakuna kutoka, wala kuanzisha vyama vipya. Kwani kama ilivyo kwa nchi kwa wananchi, ndivyo pia vyama kwa wanachama."
"Tutabanana humu humu."
Hiyo ni habari mbaya sana kwa ma CCM.
Kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa.
Aluta continua, adui yetu ni mmoja naye anajulikana!
"Ukimya" si amani. Bali kila mmoja atakuwa kwenye kuhesabu wafu wake na kutibu majeruhi.
Matokeo ya vita:
1. Kule kuna kongamano kujadili agenda zenye maslahi makubwa mno ya wananchi limezuiliwa.
"Kwamba, wanaharakati wanapambana na hali yao."
2. Kwingine kuna wanaotakiwa kujieleza kwa msajili wa vyama.
"Kwamba, wahanga wanapambana na hali yao."
3. Wengine (kina ACT, CUF, nk) wamefichama chini ya meza bila shaka wakijisemea:
"Hiiiiiii iii iiii .. !"
4. Ma CCM na bi tozo popote waliko bila shaka wako "full kukenua."
"Mipango yao inakwenda kama ilivyopangwa."
5. Wananchi, walio wahanga wakuu wa mnyukano wa kipuuzi huu usiokuwa na maslahi ila kwa ma CCM, watakuwa wamesukumwa nyuma zaidi kwenye struggle hili lililokuwa tayari linachukua sura mpya dhidi ya adui wa wote.
"Ya kujiuliza, tumefikia je huku? Hivi, ilikuwa lazima? Tuna nini cha kujifunza? Tunayajenga Vipi? Na ya namna hiyo.,"
Hata MV mapenzi, magumu kuliko haya yalitokea. Kuvunjika kwa koleo si mwisho wa uhunzi.
Tunaposubiri wenye akili zao kukaa chini na kuyaweka mambo sawa:
"Hakuna kutoka, wala kuanzisha vyama vipya. Kwani kama ilivyo kwa nchi kwa wananchi, ndivyo pia vyama kwa wanachama."
"Tutabanana humu humu."
Hiyo ni habari mbaya sana kwa ma CCM.
Kufanya kosa si kosa bali kurudia kosa.
Aluta continua, adui yetu ni mmoja naye anajulikana!