Hili ni swali la mtihani, liweke vizuri kama ulivyoulizwa na lecturer wako.
Come out openly and clearer.
In short kama hakuna sheria why worry and why ask.
nadhani kwenye hili jukwaa uliza kuhusu sheria ambazo ziko na sio ambazo haziko.
Mwenzako anataka kujua wewe unamjibu as if hapa tupo kwenye baa ya mnazi. Kuwa serious na mambo, nina imani humu watu wengi ni wasomi. Unaspeculate halafu unajiaminisha kuwa speculations zako ni za kweli unamshambulia mwenzako kwa kejeli. Tazama chini waungwana wamenjibu vyema tu. Jifunze ndugu.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mwenzako anataka kujua wewe unamjibu as if hapa tupo kwenye baa ya mnazi. Kuwa serious na mambo, nina imani humu watu wengi ni wasomi. Unaspeculate halafu unajiaminisha kuwa speculations zako ni za kweli unamshambulia mwenzako kwa kejeli. Tazama chini waungwana wamenjibu vyema tu. Jifunze ndugu.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!