LEARNED BROTHERS AND SISTERS!!!
Tuachane kidogo na majukwaa mengine, hasa jukwaa la siasa. Maana siasa hupandisha jazba hasa mnapotofautiana kimawazo na kimtazamo. Naombeni tuliangalie hili kwa umakini. Wasomi wetu wa sheria wanataka kwenda mahakamani kupinga serikali kuilipa Dowans mabilioni ya shilingi wakati Mahakama ya usuluhishi ya kimataifa ilishatoa hukumu, JE DOCTRINE YA RES JUDICATA na ESTOPPEL OF JUDGEMENT(RECORD) haita-function hapo na kuwa kizuizi?
Tuachane kidogo na majukwaa mengine, hasa jukwaa la siasa. Maana siasa hupandisha jazba hasa mnapotofautiana kimawazo na kimtazamo. Naombeni tuliangalie hili kwa umakini. Wasomi wetu wa sheria wanataka kwenda mahakamani kupinga serikali kuilipa Dowans mabilioni ya shilingi wakati Mahakama ya usuluhishi ya kimataifa ilishatoa hukumu, JE DOCTRINE YA RES JUDICATA na ESTOPPEL OF JUDGEMENT(RECORD) haita-function hapo na kuwa kizuizi?