George Jinasa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 399
- 52
Maombi ya kusajiri Tuzo yapo mahakamani tayari na muamuzi ameshapangiwa. Kwa wale wepesi nadhani mtakuwa mmeshapata nakala ya Tuzo. Kwa hisani yenu kama kuna yoyote anayo naomba muiwasilishe hapa ili tuwee kuitwalii na kutoa maoni yetu kwa ukamilifu. Nasikia Mh Raisi leo amewaomba wanasheria wapigane kadili iwezekanavyo ili Dowans wasilipwe.
Kwa mjadala unavyokwenda naona tuna wataalamu wa kutosha wa international commercial arbitration. Kama tutajadili bila ushabiki na kwa uaminifu wa kitaaluma nadhani tutakuja na jibu sahihi la kukabiliana na tatizo hillo, kama jibu lipo
Kwa mjadala unavyokwenda naona tuna wataalamu wa kutosha wa international commercial arbitration. Kama tutajadili bila ushabiki na kwa uaminifu wa kitaaluma nadhani tutakuja na jibu sahihi la kukabiliana na tatizo hillo, kama jibu lipo