Wanasema natembea naye!

una ignore maana ukweli unaujua wewe binadamu wameumbwa kuongea mwisho wa siku wataacha wenyewe
FL, hii ya ku ignore huwa siipendi sana ... hasa nikikumbuka usemi wa marehemu aliuwawa kimakosa tunaomba radhi kwa hilo.. mi namshauri astay away na vitu vya watu
 
sina imani majirani wataongelea kitu amabacho hakipo ukweli hujitenga bna uongo hata iweje zaidi ya watu na vijana wanaona jinsi gani unavyo fanya mambo yako kwa niwewe tu mitaani kwa nini wasiongelee wengine?
 
sina imani majirani wataongelea kitu amabacho hakipo ukweli hujitenga bna uongo hata iweje zaidi ya watu na vijana wanaona jinsi gani unavyo fanya mambo yako kwa niwewe tu mitaani kwa nini wasiongelee wengine?

Inaonekana hujawahi kuzushiwa jambo wewe...............
 
Back
Top Bottom