Wananchi tuna haki kufahamu alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.

Rais ni wa Jamhuri ijulikane kuwa anamilikiwa na wananchi wote bila kujali itikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.

Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nao watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.

Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.

Serikali, imeendelea kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza uvumi (uliokuwa siyo uvumi) enzi Mwendazake wakati anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.

Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenya mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.

Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kusimama na wananchi wote na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wanafanya kila linalowezekana ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.

Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.

Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.

Naomba tujulishwe
Mimi Ninahisi yata tokea kama yailyo tokea kwa aliyekuwa Mpendwa wa Watu na Mtetezi wa Wanyonge RIP Magufuli tungojee hiyo sinema ya kutisha mwisho wake itakwishaje? Hii ni Sirikali siyo Serikali.


 
Viongozi wetu wote ikifika ni muda wa kuongea na wananchi lazima waandaliwe maelezo. Hua hawajipangii tuache kumlaumu PM
Viongozi wote huandaliwa speach hata Nyerere aliandaliwa kikubwa ni wewe unaye present hiyo speach kujua Ina mashiko kwa hadhira inayokusikiliza, kwani yeye ni robot ambaye kazi yake ni kusoma chochote
 
Nimecomment mkuu sijaquote MTU.Hivyo inamhusu mleta mada....afu nimeanza Likizo nipe location Boss😉
mkuu karibu sana sana kwetu. just panda gari la mwendokasi, ukishuka tu ulizia kwa Msanii, unafikishwa chap kwa haraka😅😅😅😅 (kidding)

ngoja niangalie Google hapa nijue nipo wapi kisha fungua inbobo
 
Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.

Rais ni wa Jamhuri ijulikane kuwa anamilikiwa na wananchi wote bila kujali itikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.

Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nao watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.

Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.

Serikali, imeendelea kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza uvumi (uliokuwa siyo uvumi) enzi Mwendazake wakati anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.

Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenya mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.

Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kusimama na wananchi wote na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wanafanya kila linalowezekana ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.

Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.

Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.

Naomba tujulishwe
Sivyo kama unavyofikiri mambo ya kiusalama wa kitaaifa kuna mambo yanaenda na utaratibu wake
 
Sivyo kama unavyofikiri mambo ya kiusalama wa kitaaifa kuna mambo yanaenda na utaratibu wake
Hivi umewahi kujiuliza kwamba elimu na ujuzi wa kiintelejensia vimetokea wapi? vimeasisiwaje? nani ndiyo guru wa hayo mbambo?

Usichokijua ni kwamba, wapo watu wana ujuzi wa masuala ya kiusalama bila hata kupewa mafunzo.

Msitufanye wananchi kwamba ni mapoyoyo
 
Hivi umewahi kujiuliza kwamba elimu na ujuzi wa kiintelejensia vimetokea wapi? vimeasisiwaje? nani ndiyo guru wa hayo mbambo?

Usichokijua ni kwamba, wapo watu wana ujuzi wa masuala ya kiusalama bila hata kupewa mafunzo.

Msitufanye wananchi kwamba ni mapoyoyo
Kweli Mkuu, umenena vyema sana
 
Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.

Rais ni wa Jamhuri ijulikane kuwa anamilikiwa na wananchi wote bila kujali itikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.

Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nao watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.

Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya kijamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.

Serikali, imeendelea kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza uvumi (uliokuwa siyo uvumi) enzi Mwendazake wakati anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.

Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenya mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.

Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kusimama na wananchi wote na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wanafanya kila linalowezekana ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.

Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.

Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.

Naomba tujulishwe
Hakuna haja ya ombi ni haki yetu kuwa na taarifa ya kiongozi wa kitaifa.
Ni wakati sasa wa kuandamana kulazimisha yule mzinzi mvunja ndoa za watu na muongo majaliwa atuachie ofisi zetu haraka. Alidanganya kuhusu JPM! likitokea lolote kwa VP tumfurushe kutoka ofisini akale panya huko ruangwa!
 
Mmemkosa kwenye radar zenu, mnataka kumpiga kibomu cha moshi (smoke) nini?, Waziri Mkuu ashasema yupo ngambo kikazi kipi kina ku washa washa?
Hiyo ngambo ndio ipi ambako WaTanzania na Balozi zetu hazipo!?
Matuona ka manyani vile yanaruka porini!
Si wqseme kitu kieleweke !
 
Kama hautaki kutangazwa basi zisitumike pesa zetu kukutibu.
tunaweza kutangaziwa kwamba anaumwa na si lazima waseme ugonjwa gani.

Nahisi sehemu kubwa ya waliomo serikalini ni zombiez kuliko sisi raia:D
Ya kutangazia umma kwamba kiongozi flani anaumwa sio tatizo kabisa ,shida kutangazia watu anaumwa ungonjwa gani ndo kinyume labda yeye mwenyewe awe ameruhusu
 
Hakuna haja ya ombi ni haki yetu kuwa na taarifa ya kiongozi wa kitaifa.
Ni wakati sasa wa kuandamana kulazimisha yule mzinzi mvunja ndoa za watu na muongo majaliwa atuachie ofisi zetu haraka. Alidanganya kuhusu JPM! likitokea lolote kwa VP tumfurushe kutoka ofisini akale panya huko ruangwa!
Huu ni uzalilishaji sasa, au Mlimuingiza kwenye mtego wenyewe na sasa mnataka muangushia jumba bovu
 
Hivi umewahi kujiuliza kwamba elimu na ujuzi wa kiintelejensia vimetokea wapi? vimeasisiwaje? nani ndiyo guru wa hayo mbambo?

Usichokijua ni kwamba, wapo watu wana ujuzi wa masuala ya kiusalama bila hata kupewa mafunzo.

Msitufanye wananchi kwamba ni mapoyoyo
Upo nje ya content we tambua tu ofisi ya rais, taasisi zote za kiusalama nchini hazikurupuki kutoa taarifa hovyo hasa sikuhusiana na kiongozi mkubwa wa nchi zinazingatia mambo mengi sio kwa namna ya utashi wako unavyojidanaganya, unahisi una ufahamu mpana sana kwenye taasisi ya kiintelejensia?
 
Upo nje ya content we tambua tu ofisi ya rais, taasisi zote za kiusalama nchini hazikurupuki kutoa taarifa hovyo hasa sikuhusiana na kiongozi mkubwa wa nchi zinazingatia mambo mengi sio kwa namna ya utashi wako unavyojidanaganya, unahisi una ufahamu mpana sana kwenye taasisi ya kiintelejensia?
Kwa hiyo afya ya kiongozi ni high confidencial.
 
Na huu ndio ukweli, watu wanamjia juu waziri mkuu utadhani yeye anaongea tuu bila kupewa kauli, ni mara ngapi rais hata awamu zilizopita anamuapisha mtu ambaye sio sahihi, lawama zinaenda kwa rais wakati sio kila mtu anapitishwa na rais
ILA NI kweli.waziri mkuu anapewa taarifa ya kusema haoti.ila nashauri na YEYE awe anajiridhisha na anachopewa kusema ili aepuke lawama za wananchi.ni mawzo yangu Tu.
 
Back
Top Bottom