Sio kweli. Mbona Obama siku ya Uchaguzi alikuwa kwenye TV na pia alikuwa anawapigia watu mbalimbali simu ili wamchague?
Inaelekea hata sheria yenyewe hatuielewi.
Kusema ukweli, CCM watajizolea kura nyingi za wanawake as symphathetic votes kwa ajili ya Mama Salma, she is too humble na kuongea na kinamama wa low level akijishusha level yao na kuwaomba kura kwa lugha wanayoielewa, lugha yao. JK alivyokuwa akijishusha mpaka kukaa mavumbini, kubeba vitoto it was a total pretence, ukijipretend mara nyingi sauti na macho yana contrast ile action hivyo ma-manwatcher wanaiona hiyo pretence ili tuu kuombea kura, ila kwa upande wa Mama Salma, ni genuine humble na genuine down to earth.