Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
Happy new year
Sio mpenzi wa miziki ya kizazi kipya, ila katika pitapita yangu kwenye utube nikakutana na miziki ya kizazi kipya na nikawa nasoma comment
wanamuziki wengi wa Tanzania wanajulikana huko nje kama ni wakenya.
nani ana host kenyans.org ???
Je hawa wanamuziki wa Tanzania wanajua hilo? mameneja wao na maproducer wanajua hilo??
Ukiangalia kwa mfano kwenye link hiyo hapo chini inaonyesha kuna mtu anabisha kabisa kuwa huyu si Mtanzania kwani watanzania hawaongei kiswahili kizuri kama Mombasa! hawa wote wanamuziki wa kitanzania wanajulikana kama wakenya, au wasomali!
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=GSHPoZaW0VA&feature=related[/ame]
http://www.youtube.com/user/KenyaMedia
Kenya wanachukua kila kitu kizuri cha watanzania na wanavitangaza kama vyao!
kumweka mtanzania anaimba at the same time ukaweka link kuwa huyo ni Mkenya, is wrong!
Kuna mtu anaweza kulisemea hili? I may be wrong but I sense danger
Sio mpenzi wa miziki ya kizazi kipya, ila katika pitapita yangu kwenye utube nikakutana na miziki ya kizazi kipya na nikawa nasoma comment
wanamuziki wengi wa Tanzania wanajulikana huko nje kama ni wakenya.
nani ana host kenyans.org ???
Je hawa wanamuziki wa Tanzania wanajua hilo? mameneja wao na maproducer wanajua hilo??
Ukiangalia kwa mfano kwenye link hiyo hapo chini inaonyesha kuna mtu anabisha kabisa kuwa huyu si Mtanzania kwani watanzania hawaongei kiswahili kizuri kama Mombasa! hawa wote wanamuziki wa kitanzania wanajulikana kama wakenya, au wasomali!
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=GSHPoZaW0VA&feature=related[/ame]
http://www.youtube.com/user/KenyaMedia
Kenya wanachukua kila kitu kizuri cha watanzania na wanavitangaza kama vyao!
kumweka mtanzania anaimba at the same time ukaweka link kuwa huyo ni Mkenya, is wrong!
Kuna mtu anaweza kulisemea hili? I may be wrong but I sense danger