LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ndg zangu! Huyu ndg kwa wenye kumbukumbu kama mimi namkumbuka alikuwa ni mtangazaji mzuri sn wa radio ya jirani ze2 Kenya ila kuna taarifa ya kwamba alikuwa ni Mwene2 mzawa wa hapa Tanzania,KWA WANAOMJUA VEMA WA2JUZE ALIPO HUYU NDG. Twendeni pamoja jama!