LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Ndg WanaJF! Bila shaka 2pamoja ktk namna 2livyo ktk hali ya kukumbushana na hata kuelimishana na hata kurekebishana na 2naenenda vema kbs, Nikumbushe huyu mtangazaji machachari sana kwa upande wa mchezo hasa mpira wa mguu pale anapotangaza na madoido kibao na siyo mwingine ni Ezekiel Malongo.
Je? Yuko wapi? Kwa wanaomjua.
Je? Yuko wapi? Kwa wanaomjua.