YoungAge.org
Member
- Aug 10, 2012
- 46
- 12
- Thread starter
- #21
hii habari hata mimi naona uzushi mtupu
Nafurahi kuwa umefikiria same way ka mimi, ni uzushi na biashara ya magazeti ya udaku
hii habari hata mimi naona uzushi mtupu
Dodoma machangu ukiuliza shughuli yake anasema mwanachuo UDOM,
Muulize Course gani..... TEACHING
imeandikwa sana kwenye vyombo vya habari kuwa kuna madenti wana desturi ya 'kujiuza' na hata baadhi ya vyuo vimetajwa tajwa kama vile ifm, saut, udom na hata mabibo hostel imehusishwa. Kisha nikasikia kuwa kuna sehemu kadhaa ndio sokoni, kama sinza na club fulani mwanza. Nina ndugu yangu anasoma saut yeye kaniambia kinachoendelea ni mahusiano ya kawaida ya kimapenzi ndiyo yamekithiri na sio biashara ya uchangudoa. Mimi mwenyewe nimepitapita sehemu tajwa za burudani, nimejionea mabinti wa chuo wamependeza na wako kiburudani zaidi na sio kibiashara na wapenzi wao. Kwa nini kuwasingizia watoto wa watu biashara wasioifanya? Nimewacheki waje machangu wanaosimama barabarani hakuna wa college pale japo wanakijua sana kizungu.
Nawakilisha.
mkichangia naombeni saaaaaaana msinitukane. Niko allergic na matusi wapendwa wangu wa jf.
sio kila lisemwalo lipo, mengine ni uzushi tu
Unajua ukimapproach changudoa yoyote, anapenda kujipandisha grade so anasingizia yuko chuo na wengine wanafoji hivyo vitambulisho ili kuvutia biashara yao lakini sio wanachuo bana!
hata mm niliwachukua na wanatoka tu ni pesa yako, wala sio vyuo hivyo tu ulivyovitaja
labda nikuulize, wewe ulitaka wanachuo tu wachukuane? mbona kuna maTutor? sio halali awe na mwanachuo mwenzake tu hata na sisi Raia kuna vitu kibao tunawaridhisha na kuwasaidia acha wagawe na kujiridhisha kwa wanathamini Usiri kuliko Chuoni wanakua wamejianika, wangojee kwenda JKT huko watayaona mengi
hata mm niliwachukua na wanatoka tu ni pesa yako, wala sio vyuo hivyo tu ulivyovitaja
labda nikuulize, wewe ulitaka wanachuo tu wachukuane? mbona kuna maTutor? sio halali awe na mwanachuo mwenzake tu hata na sisi Raia kuna vitu kibao tunawaridhisha na kuwasaidia acha wagawe na kujiridhisha kwa wanathamini Usiri kuliko Chuoni wanakua wamejianika, wangojee kwenda JKT huko watayaona mengi