Wanaoomba mkopo kwa sasa ni wanafunzi wa elimu ya juu tu au hata wa vyuo vya kati?

ASIE NA MAKUU

Member
Aug 10, 2021
39
65
Wanabodi,

Nimekuja kwenu nikiwa naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieza hapo juu.

Nakumbuka katika bajeti hii ya 23/24 ilitoa kipaumbele kwa wanafunzi wa mchepuo wa Science watakaokuwa wamepangiwa vyuo vya ufundi (Vyuo vya kati) kama MUST, DIT na ATC kuwa watasoma bure,na wale wengine wa fani za sanaa na biashara kuwa kutakuwa na utaratibu wa mkopo.

Je, katika dirisha hili hao wanafunzi wanaweza kuomba mkopo?

Na kama ni ndio naombeni utaratibu wake.

Ahsanteni
 
Wanabodi,

Nimekuja kwenu nikiwa naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieza hapo juu.

Nakumbuka katika bajeti hii ya 23/24 ilitoa kipaumbele kwa wanafunzi wa mchepuo wa Science watakaokuwa wamepangiwa vyuo vya ufundi (Vyuo vya kati) kama MUST, DIT na ATC kuwa watasoma bure,na wale wengine wa fani za sanaa na biashara kuwa kutakuwa na utaratibu wa mkopo.

Je, katika dirisha hili hao wanafunzi wanaweza kuomba mkopo?

Na kama ni ndio naombeni utaratibu wake.

Ahsanteni
Kwani huwajui Sisiyemu ndugu yangu Hapo wanawaokoto Wazazi wetu kibwege kama hivyo
 
Ni ushauri tu kama wewe mwenyewe, wazazi, walezi, ndugu, sponsors and so…… wana uwezo wa kukusomesha vizuri achana kabisa na HESLB fanya hivyo tu ikiwa there is no other way.

Tunayoyashuhudia huku makazini kwa vimishahara hivi vya ngama ni dhahma hoa jamaa watakopokufikia
 
MasisiM nimacuda yamenirudisha home Toka ghetto Kwa taarifa zao za uwongo. Nikaona mzazi ananisisitizia nikaona itakua Vibaya kuto kwenda chuo ngoja ni rudi ni apply kumbe ni hola. Ngoja nirudi zangu tu ghetto hiyo elimu ya mchongo watasoma wao wenyewe.
 
Back
Top Bottom