YoungAge.org
Member
- Aug 10, 2012
- 46
- 12
Imeandikwa sana kwenye vyombo vya habari kuwa kuna madenti wana desturi ya 'kujiuza' na hata baadhi ya vyuo vimetajwa tajwa kama vile IFM, SAUT, UDOM na hata Mabibo Hostel imehusishwa. Kisha nikasikia kuwa kuna sehemu kadhaa ndio sokoni, kama Sinza na club fulani mwanza. Nina ndugu yangu anasoma SAUT yeye kaniambia kinachoendelea ni mahusiano ya kawaida ya kimapenzi ndiyo yamekithiri na sio biashara ya uchangudoa. Mimi mwenyewe nimepitapita sehemu tajwa za burudani, nimejionea mabinti wa chuo wamependeza na wako kiburudani zaidi na sio kibiashara na wapenzi wao. Kwa nini kuwasingizia watoto wa watu biashara wasioifanya? Nimewacheki waje machangu wanaosimama barabarani hakuna wa college pale japo wanakijua sana kizungu.
Nawakilisha.
Mkichangia naombeni saaaaaaana msinitukane. Niko allergic na matusi wapendwa wangu wa JF.
Nawakilisha.
Mkichangia naombeni saaaaaaana msinitukane. Niko allergic na matusi wapendwa wangu wa JF.