Wanafunzi wa udsm wanaoongoza kufanyiwa thesisi mtaani kwa nini???

hapa unataka lazimisha YES kuwa NO!!! JAMAA ALIKUA NA DIV3 TENA YA 24 O-LEVEL..lakin mpaka hapa hivyo vyuo vya st.. na hiyo ud vimetusaidia nini katika hili dimbwi la shida na stress hapa bongo??? JE KUWA NA DIV 1 NA KUENDA UD NDO SULUHISHO LA HAYA MATATIZO YETU HAPA BONGO??.....

Nimewafuatilia wote wawili na Mwana Mnyonge mna point ila mmetofautiana sehemu ndogo, kwanza nakubaliana na Mwana Mnyonge kwamba ufaulu wa O-level ni kigezo kikubwa kupata nafasi chuo kikuu si UDSM pekee hata vyuo vingine pia hata huyo mwenye Division 3 ya 24 O-level kama alivyosema LORDVILLE nadhani walichoangalia ni point katika masomo yake ya msingi kulingana na fani aliyoomba tofauti na mtu kapata point 24 kama huyo wa kwanza alafu amegonga B ya Civics alafu akapiga B ya cookery mengine pamoja na yale entry point kagonga D yote (hapa hapati kitu). Hii ya kuangalia O-level inatumika hasa kuangalia baadhi ya wanafunzi unakuta A-level hakupata maksi za juu sana hivyo pass ya O-level inatumika kuangalia kama kweli akichukuliwa ataweza, si unajua tena mtu anaweza akafaulu vizuri A level kumbe O level alipita kibahati.

Nje ya point: Kiukweli mtu aliesoma vizuri O level nikiwa na maana amefundishwa vizuri na kuelewa ni kigezo tosha cha kufanya vizuri huko mbele
 
Last edited by a moderator:
Nimewafuatilia wote wawili na Mwana Mnyonge mna point ila mmetofautiana sehemu ndogo, kwanza nakubaliana na Mwana Mnyonge kwamba ufaulu wa O-level ni kigezo kikubwa kupata nafasi chuo kikuu si UDSM pekee hata vyuo vingine pia hata huyo mwenye Division 3 ya 24 O-level kama alivyosema LORDVILLE nadhani walichoangalia ni point katika masomo yake ya msingi kulingana na fani aliyoomba tofauti na mtu kapata point 24 kama huyo wa kwanza alafu amegonga B ya Civics alafu akapiga B ya cookery mengine pamoja na yale entry point kagonga D yote (hapa hapati kitu). Hii ya kuangalia O-level inatumika hasa kuangalia baadhi ya wanafunzi unakuta A-level hakupata maksi za juu sana hivyo pass ya O-level inatumika kuangalia kama kweli akichukuliwa ataweza, si unajua tena mtu anaweza akafaulu vizuri A level kumbe O level alipita kibahati.

Nje ya point: Kiukweli mtu aliesoma vizuri O level nikiwa na maana amefundishwa vizuri na kuelewa ni kigezo tosha cha kufanya vizuri huko mbele
thanx wazo zuri..admitted!!!
 
kimsingi elimu ya mtu aliyefanya Reserch si sawa au salama kutoka kwenye chuo dhaifu, yupo sahihi katika reserch yake dhaifu, kutoka kwenye chuo dhaifu alichosoma.
 
sasa kwa taarifa yako mba yeyote ya udsm ni shule kweli achana na hizo za mzumbe

Bwana wewe acha porojo.Watu wamemaliza research zao pale lakini ukimwambia kwanini ameamua kufanya utafiti katika eneo hilo alilofanya hana majibu.sasa hapo kweli ameandika mwenyewe?
 
Nimewafuatilia wote wawili na Mwana Mnyonge mna point ila mmetofautiana sehemu ndogo, kwanza nakubaliana na Mwana Mnyonge kwamba ufaulu wa O-level ni kigezo kikubwa kupata nafasi chuo kikuu si UDSM pekee hata vyuo vingine pia hata huyo mwenye Division 3 ya 24 O-level kama alivyosema LORDVILLE nadhani walichoangalia ni point katika masomo yake ya msingi kulingana na fani aliyoomba tofauti na mtu kapata point 24 kama huyo wa kwanza alafu amegonga B ya Civics alafu akapiga B ya cookery mengine pamoja na yale entry point kagonga D yote (hapa hapati kitu). Hii ya kuangalia O-level inatumika hasa kuangalia baadhi ya wanafunzi unakuta A-level hakupata maksi za juu sana hivyo pass ya O-level inatumika kuangalia kama kweli akichukuliwa ataweza, si unajua tena mtu anaweza akafaulu vizuri A level kumbe O level alipita kibahati.

Nje ya point: Kiukweli mtu aliesoma vizuri O level nikiwa na maana amefundishwa vizuri na kuelewa ni kigezo tosha cha kufanya vizuri huko mbele


point taken mkuu
 
mpe mpe mpe....baelezeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!well said mkuu!
acheni majungu yako wewe mwenyewe ulitaka sana kusoma udsm but kufaulu kwako kwa kuunga unga kukakufanya ukasome vyuo vidogo udsm itabaki kuwa chuo kikuu achen majungu hayo,unafundishwa na degree holder unategemea utakuwa na uelewa gani udsm tunafundishwa na ma dr and prof mtakufa kwa wivu alikwambia nani usifanywe vizur form 6
 
kama hili kinakuumiza kichwa na kuona kuwa ni jambo hasi kwa udsm, haya chukua nafasi hii kuandika hata jambo moja tu chanya la udsm...acha kuongea mambo hasi tu yasiyo na tija, sema na chanya pia....nashawishika kuamini kuwa una chiku binafsi na udsm simply kwa kuwa hukupata fursa ya kwenda kusoma pale!!!
Ndugu zangu, nimefanya utafiti na nimegundua wanafunzi wengi wa UDSM wa first degree na masters wanaongoza kufanyiwa reseach na kuandikiwa thesis mtaani. Je hii inatokana na nini?? NAOMBA TUJADILI ILI TULISAIDIE TAIFA
 
...twende mbele turudi nyuma, tuheshimu chuo chetu cha tz, kimetusaidia wengi, majungu tuache tufanye kazi, kama mtoa mada anahisi kuna mapungufu udsm, basi atafute namna ya kusaidia kuliko kutoa povu hapa kuwa chuo hakifai...
 
wafu watazika wafu wenzao!!! Hoja hovyo na inavuja!!!

We form six leaver mi sio wa level zako...hii ni namba nyingine kabisaa...habari za ukichwa mapenzi peleka kwa watoto wa level zako....by the way SUA Wanafungua lini? Mana hili jukwaa mmeliharibu baada tu ya kufika pussy kama wewe..
 
Sijui tatizo ni kubwa kiasi gani mpaka mdau akafikia kuleta hii thread. Lakini napenda kuungana nae kwamba, wapo baadhi ya wanafunzi ambao hawapendi kusumbua 'mbongo' zao na hivyo kuchukua shortcut kama hiyo. Nimeona na hata mimi nilifuatwa na Mwanafunzi wa MBA akiwa na USD 500 mkononi ili ''kuiweka sawa''(that is the term he used)Thesis yake. Bahati mbaya, as an academician sikumu-entertain na badala yake nilimshauri juu ya nini cha kufanya ili aweze kukamilisha hyo Thesis! Sasa sijui aliangukia katika mikono ya nani-u may guess!.
 
Back
Top Bottom