Wanafunzi wa udsm wanaoongoza kufanyiwa thesisi mtaani kwa nini???

kama mtu amegraduate MBA mwaka jana na unamuuliza title, objectives, na conclusion ya thesis yake wakati wa interview. Lakini Majibu yake yanakuwa hayaendani .Mfano title anasema suala la masoko ya nyama ya Ng'ombe.Conclusion , anakwambia kuhusu masoko ya masula ya madawa ya binadamu.Na hawezi kutetea link.

Nasema UDSM ni chuo bado bora ila mfumo wa kudahili wanafunzi wengi unawafanya maprof na Dr kukoswa mda wa kuwasimamia kwa ukaribu hivyo watu kutafuta loopholes za kufanyiwa thesis mtaani na hasa ukichukulia watu wengi wanakuwa na tamaa za kugraduate within 2yrs.

Kwa hiyo kubisha tu haisiidii nadhani ni muhimu kuangalia mfumo na workload za maprofessor wetu kuliko kuseam qulity ya elimu yetu ya UDSM na vyou vingine kuw bado iko juu kama miaka ya 90.

unachoongea ni kweli kabisa ila sio tatizo la UDSM pekee ni la vyuo vyote esp vyenye evening programs. wengi ni wafanyakazi hawana muda so huandikiwa.
 
Ooooh!, UDSM i love youu UDSM...Hata nikifa leo Cv yangu ipo swaafi coz nimepiga Udsm...chezea Nkrumah hall ipo kwenye jero...katafute Chimwaga kama utaiona..mkuu wa chuo wa kwanza Nyerere...pia yupo kwenye noti....wakata vipii


mh? Oya,emb usiabishe umma wa UDSM..mi pia memalza apo,lakin izo hoja..mbona hazna jita? Nkhuruma kua kwa noti ya jero,WTF? jipange na hoja,co 2 unatiririka..! Ama we co cream of the Nation?
 
mh? Oya,emb usiabishe umma wa UDSM..mi pia memalza apo,lakin izo hoja..mbona hazna jita? Nkhuruma kua kwa noti ya jero,WTF? jipange na hoja,co 2 unatiririka..! Ama we co cream of the Nation?

We boga nin? Hoja kuhusu Udsm zmetoka nyingi sana...lakini hawaelewi...so sihitaji carolite....UDSM still my modal kwa sasa na baadae!
 
Kimla, umeulizwa swali wewe umesoma/unasoma chuo gani? Kwa taarifa UDSM lazima ufanye viva, tafuta hoja nyingine
 
Kama hizi ndio hoja zako za utetezi wa ubora wa chuo....duh huna tofauti na asiye graduate kifikra. Jipange mdau

We sangara kweli...sasa hv kilichobaki ni kuwatemea Pumba tu sababu kama hoja tumezileta sana....oooh! UDSM
 
Ndugu zangu, nimefanya utafiti na nimegundua wanafunzi wengi wa UDSM wa first degree na masters wanaongoza kufanyiwa reseach na kuandikiwa thesis mtaani. Je hii inatokana na nini?? NAOMBA TUJADILI ILI TULISAIDIE TAIFA

Hata wala nchi wengi wametokea hapo.
Jk
El
.........
 
Theory tu kila mtu anajitahidi ila nimesema tatizo liko kwenye thesis za msters zao ndo issue.tafitini ninachokiseam mutajua ukweli

Kuna hoja kibao hapo juu hujazijibu, zijubu kwanza ndipo uendele na nadharia nyingine
 
Ndugu zangu, nimefanya utafiti na nimegundua wanafunzi wengi wa UDSM wa first degree na masters wanaongoza kufanyiwa reseach na kuandikiwa thesis mtaani. Je hii inatokana na nini?? NAOMBA TUJADILI ILI TULISAIDIE TAIFA

Weka wazi huo utafiti wako ,unaweza ukawa msaada kwa kiasi fulani ....ama hii vague statement uliyoiandika ndio utafiti?
 
Aiseee babaangu chezea mkandala chezea maboko chezea rwaitamu chezea mutahaba chezea nyirabu chezea dr kitila hapana chezea udsm ndio chuo bora tanzania hata hapa kijijini kwetu ukisema unasoma st tumaini wanakwambia hicho si chuo bali ni tasisi za ushirika

ngoja niendelee kukisifia udsm huku napata mbege
 
acheni majungu yako wewe mwenyewe ulitaka sana kusoma udsm but kufaulu kwako kwa kuunga unga kukakufanya ukasome vyuo vidogo udsm itabaki kuwa chuo kikuu achen majungu hayo,unafundishwa na degree holder unategemea utakuwa na uelewa gani udsm tunafundishwa na ma dr and prof mtakufa kwa wivu alikwambia nani usifanywe vizur form 6

kufundisha sio kuwa na phd au masters elewa mkuu!!! unaweza fundishwa na degree holder lakin akawa njema kushinda hata huyo mwenye phd!!!
 
acheni majungu yako wewe mwenyewe ulitaka sana kusoma udsm but kufaulu kwako kwa kuunga unga kukakufanya ukasome vyuo vidogo udsm itabaki kuwa chuo kikuu achen majungu hayo,unafundishwa na degree holder unategemea utakuwa na uelewa gani udsm tunafundishwa na ma dr and prof mtakufa kwa wivu alikwambia nani usifanywe vizur form 6

kwan ukifanya vizur fom 6 ni lazima kwenda ud??? mbona washkaji wana div3 na wapo ud!!
 
Pole sana mkuu, inaonekana unaumia sana ukisikia Univesty of Dar es Salaam. Ukiwa kilaza lazima na mawazo yako yawe yaukilazalaza. Itafikia kipindi hata kazini tutakuwa tunawabagua kuwaajiri. Si mnajifanya mnajua sana kuandika. Makabila, udini naona mmefanikiwa sasa mnahamia kukikandia Chuo kikuu cha Tanzania

mbona hiki chuo sijawahi kukisikia?? embu nieleweshe maana mi najua kuna UDOM,SAUT na vinginevyo!! sasa hiki chako ni kipi..kipo wap..na kimefunguliwa lin..je kinafahamika na TCU???
 
ooooh!, udsm i love youu udsm...hata nikifa leo cv yangu ipo swaafi coz nimepiga udsm...chezea nkrumah hall ipo kwenye jero...katafute chimwaga kama utaiona..mkuu wa chuo wa kwanza nyerere...pia yupo kwenye noti....wakata vipii

wafu watazika wafu wenzao!!! Hoja hovyo na inavuja!!!
 
acheni majungu yako wewe mwenyewe ulitaka sana kusoma udsm but kufaulu kwako kwa kuunga unga kukakufanya ukasome vyuo vidogo udsm itabaki kuwa chuo kikuu achen majungu hayo,unafundishwa na degree holder unategemea utakuwa na uelewa gani udsm tunafundishwa na ma dr and prof mtakufa kwa wivu alikwambia nani usifanywe vizur form 6

Hapo nilipo bold ndio sifa ya chuo kikuu safi sana kwa jibu lako zuri maana kuna vyuo vingine ukifanya tathmini ya staffs wake utagundua kwamba wanachotoa sio degree japokuwa wanasema ni degree, serikali imeanzisha vyuo vingi kisiasa kwani ilitakiwa iende mdogo mdogo kama miaka ya nyuma kwa kuwa na vyuo vikuu na higher learning institution ambavyo vilikuwa vinatoa Advanced Diploma huku jitihada zikifanyika kuwaandaa wahadhiri wa ukweli wakati huohuo wanavifanyia upgrading hizi higher learning institution na kuwa vyuo vikuu kamili kama ilivyofanyika Mzumbe, Ardhi University, Ushirika na vyuo vingine, sasa siku hizi unasikia chuo flani kinatoa degree wakati hata diploma kilikuwa hakitoi. Ila bado hoja ya kushuka kitaaluma kwa udsm bado inasimama kuwa kweli japokuwa ni changamoto inayoweza rekebishika
 
kwan ukifanya vizur fom 6 ni lazima kwenda ud??? mbona washkaji wana div3 na wapo ud!!
wanaweza kuwa na dv 3 but angalia o level wamefaulu vipi mkuu,pale hawategemei ada yako ili chuo kiendelee nenda na div 3 yako ukishindwa kufaulu kama kawaida nyumbani chukulia mfano mtu aliye fall udsm sheria anaweza kuendelea na mwaka mwingine kwenye hivyo vyuo vyenu vya st .. bt vyuo vya st ... waki fall hawaweza kuendelea na mwaka mwingine pale udsm
 
kufundisha sio kuwa na phd au masters elewa mkuu!!! unaweza fundishwa na degree holder lakin akawa njema kushinda hata huyo mwenye phd!!!

ndugu yangu nimekubali uelewa wako ni mdogo sana unadhani ni sababu gani elimu ya shule ya msingi siku hizi ubora wake upo chini?,sababu wanafundishwa na walimu walifanya vibaya kwenye masomo yao.mtu anayekufundisha ana degree na ww unasoma degree unategemea nn hapo?,unafahamu standard zinasemaje kuhusu mtu anayesomea degree anatakiwa afundishwe na mtu wa level gan ya elimu?,mtu anayesomea masters anatakiwa afundishwe na mtu mwenye level gan ya elimu?
 
wanaweza kuwa na dv 3 but angalia o level wamefaulu vipi mkuu,pale hawategemei ada yako ili chuo kiendelee nenda na div 3 yako ukishindwa kufaulu kama kawaida nyumbani chukulia mfano mtu aliye fall udsm sheria anaweza kuendelea na mwaka mwingine kwenye hivyo vyuo vyenu vya st .. bt vyuo vya st ... waki fall hawaweza kuendelea na mwaka mwingine pale udsm
hapa unataka lazimisha YES kuwa NO!!! JAMAA ALIKUA NA DIV3 TENA YA 24 O-LEVEL..lakin mpaka hapa hivyo vyuo vya st.. na hiyo ud vimetusaidia nini katika hili dimbwi la shida na stress hapa bongo??? JE KUWA NA DIV 1 NA KUENDA UD NDO SULUHISHO LA HAYA MATATIZO YETU HAPA BONGO??.....
 
Hii ni hoja nzito inayostahili kupewa uzito sitahiki na kujadiliwa kiundani, tatizo mleta uzi ameuleta kisiasa kwa kukilenga chuo kikuu kimoja yaani UDSM. Ila ukweli ni kwamba sasa hivi mchezo wa wanafunzi kuandikiwa thesis hapa nchini umekithiri. Je chanzo cha tatizo ni nini? Tatizo lipo kwa ukubwa gani? Na kama nchi tufanyeje kuondoa mchezo huu mchafu ambao mwishowe unatuletea viongozi wasion na sifa. Na mchezo huu wa kuandikiwa thesis unaenda sambamba na watu na hasa wanasiasa wa CCM kuendelea kujiita Madokta huku wakiwa hawana sifa hata kidogo. Prof. Tolly Mbwette amejitahidi kupambana na suala hili la uzalilishaji wa PhD lakini hajaungwa mkono vizuri. Ukichezea elimu mambo mengine yote yanayofuata umeyachezea automatically. Tujadiliane
 
hapa nlipo na ishi kwa kufanyia watu kazi ka hizo ila UDSM hakuna hasa sheria wanamuogoapa MAJAMBA ILA HIVYO VYUO VINGNE SASA DU
 
Ndugu zangu wewe fuatilia hasa watu wanaosoma masters za biashara (MBA),arts,sheria na hasa hawa madingi wanaofanya kazi kwenye taasisi za serikali na wanaongoza kufanyiwa thesis zao mtaani. Na wengi wanalipa kati ya sh laki nne mpaka sita.Nadhani wanafanya hivyo kwa kuwa wanataka kuwa na sifa za kupata masters ili amuonyeshe mwajilia ambaye ni serikali.Naamini hata baadhi ya wanafunzi wa aina hiyo hasa kwa vyuo vya DSM wanafanya hivyo.Fanyeni utafiti wa kitu ninachokisema msiibishe tu.

Ni kweli,mtu akimaliza course work research anatafuta wa kumsaidia.Hawafanyi wao wenyewe!
 
Back
Top Bottom