Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
- Thread starter
- #21
hivi bado vitoto sana na ni chini ya miaka 20 ..nadhani umri unawaruhusu kufanya haya...
nakumbuka enzi zangu niko pale Tboys nlikuaga naibuka disco vumbi night ni noma kila siku...
na ukikutana na mimi utaeza kufikiri nsapoteza mwelekeo ila mwisho wa siku nkatoka na DVSION ONE Huyoo nkasepa mlimani..
lo tukikutana huezi amini..ni umri tuu huwa unapita
hata kama wewe pia ulifanya,haikuwa sahihi! Wengi wanaofanya hivyo wanaishilia pabaya.