JEMEDARI .H.
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 341
- 54
Wanafunz wa shule ya sekondar ndanda masasi mkoan mtwara wameandamana wakielekea wilayan masasi.
Wanafunz wa shule ya sekondar ndanda masasi mkoan mtwara wameandamana wakielekea wilayan masasi.
Mwaka jana walitaka Msikiti ujengwe ndani ya ardhi ya Kanisa!
Kwani waliondamana ni Waislamu peke yao ? Au ndio yale yale ya kukurupukaaa kama ya M4C- maandamano kabla ya kuuliza ?