CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Wanafunzi wa nane nane secondary school morogoro wamegoma kuingia darasan, kisa kupinga kupewa adhabu, kama viboko na nyinginezo. Je hii sahihi, wanataka waishi kama wafalme huku wakiendelea kupata zero. Naona wanafunzi wa kipindi hiki wanakosa nidhamu, wenyewe na simu mkononi na face book.
Source. ITV
Source. ITV