Nabii daniel wewe ni mwanafunzi wa st joseph?tuanzie hapo kwanzaSina haja ya kukuaminisha, ila Siku ukikutana na mwanafunzi yeyote wa St. Joseph labda unaweza kuelewa. Wanafunzi wenyewe wanashangaa kwa nini chuo hakifutwi. Hapa nipo na Jamaa yangu ana diploma ya Ualimu kiswahili, ila kamaliza pale na Computer science.