Wanachama bandia Wakamatwa wakielekea Makao Makuu ya CHADEMA; Waandishi wa UHURU na STAR TV wapigwa!

Nimeona video yake inatia huruma chama tawala utafikiri wao ndo wapinzani.Ndiyo maana tuko maskin kwa sababu ya

kuongozwa na watu ambao hawana hekima wala hofu ya Mungu hata kidogo.Hawa maccm yameshindwa kuwaelezea

watanzania ilani ya chama yanakaa tu kubuni mbinu chafu na matusi..kuwaza fitina tu zisizo na sababu..

Wanahubiri amani lakini ccm ndiyo ya kwanza kuratibu mambo ya kuleta hasira kwa umma.Mungu anayaona yote hayo

na hapendezwi na watu wenye roho za kishetani na majiubu yake ni 25 October 2015

Hawa ccm huu mtindo wa kutuma " watoto wa walalahoi "kuandamana NA raia wameshachoka watakuja kujuta ...Mbona hawatumi watoto wao ????
 
Wananchi wa Ubungo ninawaomba sana sana hebu angusheni huyo fisadi wa ubunge anayetumia jeuri ya fedha kuharibu amani ya nchi hii, Huyu ni wale kati ya ukoo wa panya, baba anagombea ubunge, mama viti maalumu na binti vitii maalum. Amefilisi UDA na uchafu mwingi kibao. Mpeni Kubenea kura, na ndiye mtetezi pekee kwa watanzania kwa sasa. Fisadi mkubwa wewe. Watanzania wa leo si wale wa mwaka 1995. Mtanzaia aliyezaliwa mwaka huo ni mpiga kura na ni mwana mabadiliko. Shame on You Masanduku mwizi mkubwa na chuo chako cha kisanii cha kuibia hela.
 
Washenzi hawa mpaka uchaguzi ufike, watakuwa wameshika adabu.

Chadema pelekeni malalamiko ya uharamia wa kifirauni wa ccm kwenye tume ya uchaguzi haraka iwezekanavyo.

Matukio mengi sana wanafanya yakiwemo ya kuzidisha muda wa kampeni bila kuchukuliwa hatua yoyote.

Kutoa matusi majukwaani kila mtu akisikia badala ya kutoa hoja.

Kuvamiwa kwa HECHE na kuuliwa mwananchi mmoja.

Na sasa kuwakamata live wakiratibu maandamano kinyume cha sheria.

N.k

Chukueni hatua.

...malalamiko yapelekwe wapi?! hebu bana na ww, hawa mbwa tutaendelea kuwanyonya kamasi uswazi kimya kimya,polisi wataenda wao kutoa taarifa..si wanajidai hapa kazi tu hahahaaa ss ndio tumewaonesha kazi halisi ipo huku dadadekii,..
Ombi: masaburi nxt tym naomba uje na ww, tukufanyie operesheni bila ganzi tukupunguze hilo tumbo!
Ni matumaini yangu ombi langu litakubaliwa,alamsik!!
 
Kumbe kweli chadema ina udini.Sasa yesu unamshukuru kivipi badala ya Allah sub'hana wataala!
Hapana mkuu Ghosryder kila mtu anashangaa kwa imani yake ya dini. Kwa hiyo si suala la udini kabisa mkuu wangu. Hata muislam angeweza kushangaa kwa imani yake. Chadema kuwa wakristo na waislam pia na kwa sasa issue si Chadema ni UKAWA na CUF ni waislam. Unajua SSM walitumia udini na ukanda kuharibia chadema ila sasa Watanzania wameshautambua ukweli. Binafsi mini ninatoka kanda ya Ziwa na si Mkristo.
 
Last edited by a moderator:
Wananchi wa Ubungo ninawaomba sana sana hebu angusheni huyo fisadi wa ubunge anayetumia jeuri ya fedha kuharibu amani ya nchi hii, Huyu ni wale kati ya ukoo wa panya, baba anagombea ubunge, mama viti maalumu na binti vitii maalum. Amefilisi UDA na uchafu mwingi kibao. Mpeni Kubenea kura, na ndiye mtetezi pekee kwa watanzania kwa sasa. Fisadi mkubwa wewe. Watanzania wa leo si wale wa mwaka 1995. Mtanzaia aliyezaliwa mwaka huo ni mpiga kura na ni mwana mabadiliko. Shame on You Masanduku mwizi mkubwa na chuo chako cha kisanii cha kuibia hela.

Huyu Mzee mwizi NA tapeli ...ndio alimpoza Pinda agombee u rais wakati alikuwa hataki...NA kumpoza kufanya ufisadi Kama kashfa za sukari ...AKAUNTI YA NYAU ..NA pesa akawa anashika yeye
 
Imetokea eneo la Manyanya Kinondoni ambapo CCM wakiwa na sare za chadema wakiratibiwa na yuleyule Masaburi leo wamekusanyika Manyanya wakitaka kuandamana kwenda makao makuu ya chadema kupinga kile walichodai kauli ya udini iliyotolewa na Mgombea urais wa Ukawa Bw Lowasa.

Vijana wa chadema halisi wakastukia hilo ndipo kwa kushirikiana na vijana wazalendo wa bodaboda wakawasambaratisha vijana wa CCM waliojifanya chadema na kutaka kuandamana.

Waandishi wa Star TV na gazeti la Uhuru walikuwa miongoni mwa mapandikizi ya CCM. Walijikuta wakipigwa vibaya na kuharibiwa vifaa vyao vya kazi zikiwemo kamera.

Mwandishi wa Star TV amekwenda kupata matibabu kuokoa maisha yake hospitali ya kinondoni huku yule wa uhuru akiwa kaumizwa vibaya na haijulikani alikimbilia hospitali ipi licha ya kudaiwa kuwa Mwananyamala.

Maandamano hayo yanadaiwa kuratibiwa na Masaburi na Antony Dialo ili kumharibia Lowasa na Ukawa kama ilivyokuwa yale maandamano feki la kumuunga mkono Slaa.

Waache huo mchezo watakufa watanzania wengi wko nyuma ya chadema.. Lowasa ikulu njia nyeupe
 
Back
Top Bottom