Wanachama bandia Wakamatwa wakielekea Makao Makuu ya CHADEMA; Waandishi wa UHURU na STAR TV wapigwa!

dj mbowe mbowe anafikiri anaweza kumtumia kila mtu kupata hela. alipompata dr slaa hakujua ana mtu wa msimamo akaona amemtumia tu kuongeza ruzuku kwa kupata wabunge wengi. sasa anafikiri edo ataingia ikulu na yeye kukalia hazina ya taifa kama waziri wa fedha. anashindwa kuamini wapo wafuasi wa cdm wako na dr. slaa hawakubali usaliti wa chama chao.

Ndiyo hao waandishi wa habari wa Uhuru??

Mwandishi wa habari wa gazeti la chama jingine kajaza mfukoni kadi za chama kingine, inakuja kweli??

Mmmh saa nyingine na mahaba mliyonayo kwa vyama vyenu yasiwatoe ufahamu
 
Hv mbona usipelekwe ule ushahidi wote na ile clip yake akiwafundisha wale vjn kny Tume ya uchaguzi?

Mi nashindwa hata kuelewa, hawa ukawa nao ni km wapowapo tu, yani wanaangalia mambo yanaenda hawawez hta kulalamika official tume ya uchaguzi, kwa sababu hzi records zinamata sana
 
dj mbowe mbowe anafikiri anaweza kumtumia kila mtu kupata hela. alipompata dr slaa hakujua ana mtu wa msimamo akaona amemtumia tu kuongeza ruzuku kwa kupata wabunge wengi. sasa anafikiri edo ataingia ikulu na yeye kukalia hazina ya taifa kama waziri wa fedha. anashindwa kuamini wapo wafuasi wa cdm wako na dr. slaa hawakubali usaliti wa chama chao.

Mwandishi wa gazeti la uhuru ni mwanachama wa CHADEMA?
 
Huju jamaa anatakiwa kushikiriwa na Polisi na kuwekwa ndani kwa muda wa mwaka mmoja kwa kitendo hiki cha uchochezi wa kisiasa wenye kuhatarisha amani ndani ya Taifa hili. Wale tunao sikia kwenye vyombo vya habari waasi waasi ndio kama hawa sasa.
 
Hakuna conspirancy theory katika hili...

Ndugu yenu Masaburi kasikika na kaonekana yupo nyuma ya haya yote...

Bila shaka utakuwa hujaona wala kusikia aliyoyatamka...

Hizi nî njama dhahiri za kumpunguzia Magufuli kura. Mkakati huu unapangwa na watu timamu kabisa kujenga chki kali kwa CCM.

Whoever behind this ashughulikiwe vikali.

Conspiracy theory.
 
Hivi huyu masabuni kwann anawaghai watoto wa watu . kama anajiamini asibaki nyuma Na yeye aandamane pamoja ili aone nini kitampata kama hajampasuliwa hayo masaburi yake . Nyie vijana mnaotumika mmechoka kuishi au njaa inawasumbua ?.
Kama aliweza kutengeneza ARV feki hilo kwake mbona dogo la uhai wa vijana wasio na kazi
 
Imetokea eneo la Manyanya Kinondoni ambapo CCM wakiwa na sare za chadema wakiratibiwa na yuleyule Masaburi leo wamekusanyika Manyanya wakitaka kuandamana kwenda makao makuu ya chadema kupinga kile walichodai kauli ya udini iliyotolewa na Mgombea urais wa Ukawa Bw Lowasa.

Vijana wa chadema halisi wakastukia hilo ndipo kwa kushirikiana na vijana wazalendo wa bodaboda wakawasambaratisha vijana wa CCM waliojifanya chadema na kutaka kuandamana.

Waandishi wa Star TV na gazeti la Uhuru walikuwa miongoni mwa mapandikizi ya CCM. Walijikuta wakipigwa vibaya na kuharibiwa vifaa vyao vya kazi zikiwemo kamera.

Mwandishi wa Star TV amekwenda kupata matibabu kuokoa maisha yake hospitali ya kinondoni huku yule wa uhuru akiwa kaumizwa vibaya na haijulikani alikimbilia hospitali ipi licha ya kudaiwa kuwa Mwananyamala.

Maandamano hayo yanadaiwa kuratibiwa na Masaburi na Antony Dialo ili kumharibia Lowasa na Ukawa kama ilivyokuwa yale maandamano feki la kumuunga mkono Slaa.

Huo ni ujinga na upumbavu wa watz. Sasa kama wanaandamana si wangewaachs tu wafike afu wawasikilize then wawaache tu. Mwisho watatulia tu
 
Back
Top Bottom