Ragnar Fluke
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 374
- 115
Kesi iliyokuwa inawakabili wanafunzi 51 wa chuo kikuu cha Dar es salaam imefikia tamati baada ya kuachiwa huru n mahakama ya mkazi Kisutu. Awali wanafunzi hao walikuwa wanakabiliwa na mashtaka ya kufanya mikutano ya hadhara na maandamano kinyume cha taratibu! Wadau naomba mnisaidie masomo yao yatakuaje coz wamepoteza muda mwingi kufuatilia kesi mahakamani.