Pole, ni kweli site ya UDOM iko down. Mbona hiyo account ya NMB sikuiona?habri zenu ndugu zangu,naomben msaada tafadhali,nataka kwenda kulipa ada ya direct cost,naingia mtandaoni naambiwa warning haufunguki,wenye huo muamala naomba unirushie plz,maana nasikia wameweka adi ac no ya NMB,plz msaada maana ndo naelekea town,
Ni kweli ipo na tayari nimeshafanya marekebisho ya post#2 hapo juu. Mwanzoni sikuiona kwa ajili ya site ya UDOM kuwa down. Asante kwa kunihakikishia uwepo wake.Ni kwl kuna ac ya NMB ndo wame2tel first yr wamexema walichelewa kuiweka.