Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,814
Wakuu samahani naulizia mawasiliano na wananjenje nina issue nataka kujadiliana nao. Kama kuna mtu anafahamu simu ya kiongozi wao ama mmoja wa wanamuziki wa bendi hiyo basi naomba anisaidie. Vile vile kama unafahamu wanapopatikana hapa Dar Es Salaam utakuwa msaada pia ukinijulisha.
Natanguliza shukrani,
Nyati
Natanguliza shukrani,
Nyati