Sentensi yako ipo to general, weka bayana unakuja lini ili tukuandilie futari na madiko diko mengine mkuu. Nakutakia safari njema, tunakusubiri.Jamani wadau wenzangu mlioko Arusha naja huko kwenu tualikane basi japo futari tu si mnajua tena udugu kualikana
Nakuja alhamisi mkuu na ntakuwepo mpaka jmosi @Mzee wa rula
Blackberry, ni-pm namna ntakavyokuspot
Preta, umenote kipi sasa mamy?
Lizzy, nakuja na zawadi nyingi tu ushindwe mwenyewe kubeba
<br />Haya mrembo nimekupata sasa, unambie tu hiyo futari wanialika wapi @Preta<br />
Kaka, shukrani na zitafika @Elia<br />
Gaga, mekusoma......