Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
You sure.....!?!Coz I won‘t be there to put up a good word for you!!
Don't worry...my manati ya mzungu got it covered.
You sure.....!?!Coz I won‘t be there to put up a good word for you!!
Dah i went there once ila sio kule ndani kabisa ni huku baada ya fire tu kidogo kuvuka reli, duh kama Kiburugwa!
Don't worry...my manati ya mzungu got it covered.
Yaani hakuna njia maalum ni ubunifu wako tu kama ukiamua kuingia chumnai kwa mtu ili utokee mtaa wa pili Ahlan wasahlan! Ukipita njia ya kuchungulia watu wakiwa wanaoga hewala, ukiwa unatembea kuna watu wanafanya biashara ya vitu ulivyovaa nyuma yako........Kabla sijakuandalia vibaka....Kiburugwa kukoje?!
Yaani hakuna njia maalum ni ubunifu wako tu kama ukiamua kuingia chumnai kwa mtu ili utokee mtaa wa pili Ahlan wasahlan! Ukipita njia ya kuchungulia watu wakiwa wanaoga hewala, ukiwa unatembea kuna watu wanafanya biashara ya vitu ulivyovaa nyuma yako........
NN wewe ni Nzagamba???
haya bwana hongera sanaNzagamba haswaaa.
Yaani hakuna njia maalum ni ubunifu wako tu kama ukiamua kuingia chumnai kwa mtu ili utokee mtaa wa pili Ahlan wasahlan! Ukipita njia ya kuchungulia watu wakiwa wanaoga hewala, ukiwa unatembea kuna watu wanafanya biashara ya vitu ulivyovaa nyuma yako........
<br />Hahahahaaaa kaka hako kasichana ntaruhusiwa kurudi nako huku kwetu?