Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
AAAh FB umejuaje kuwa huyu ni kaka?huku huwa watu wakarimu bhana, wakijaga huwa hawaondoki kirahisi kirahisi, hata hivyo karibu tena kaka.
AAAh FB umejuaje kuwa huyu ni kaka?huku huwa watu wakarimu bhana, wakijaga huwa hawaondoki kirahisi kirahisi, hata hivyo karibu tena kaka.
unga ltd ulifika????????
no never usijalinaamini sito kuwa mpweke kabisaaaaa
no never usijali
<br /><font color="#B22222"><span style="font-family: comic sans ms">Wiki iliyopita nilipata bahati ya kutembelea Arusha, pamoja na kwamba sikupata bahati ya kukutana na wana JF wa pale Arusha nilifarijika sana kwa upendo wao hasa makaribisho yaliyoonyesha kwamba ni kweli wao wako BEYOND KEYBOARDS.Bahati mbaya sana ratiba yangu ilikuwa imebana sana lakini naahidi kuja tena Arusha kwa ajili ya wana JF wa huko. Shukrani za dhati kwa wote wale walionikaribisha na hata wale walionielekeza wapi pa kwenda nikiwa Arusha.</span></font>
poa pitia na wewejamani nazidi kupita tuu hapa mtaa wenyewe mbali sana
Naona Bebii hataki bana naona ananikazia macho sanaTeh teh teh kaka unaruhusiwa kusalimia japo HI!
poa pitia na wewe
walah tena na mikate inauzwa kwa mnada na muhindi? Ukitaka hata slesi moja unapata?
Dah kule napajua kwa kina sana kuna roba za mbao! Waeza rudi umevaa pensi tu wakati umeenda na tai
wote karibuniDah mi alinikaribisha lakini au ndo keshabadili mawazo
Dah mi alinikaribisha lakini au ndo keshabadili mawazo