Ratiba ya tendo la ndoa kwa wanandoa na wachumba hudhoofisha upendo wa ndani ya ndoa na kuimarisha upendo nje ya ndoa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
8,171
11,572
Tendo la ndoa baina ya wanandoa na wachumba ni chachu na kiungo kimojawapo muhimu sana cha kuimarisha upendo, uaminifu, furaha na muunganiko wa wanandoa au wachumba.

Ni tendo muhimu sana linaloweza kuimarisha na kuchochea zaidi uimara wa ndoa au uchumba likitumiwa vizuri, kwa hiyari, ubunifu, ustadi, maarifa, umahihiri, unyenyekevu, utayari na kwa utoshelevu.

Lakini pia likitumiwa vibaya kana kwamba ni adhabu, karaha, usumbufu, uchafu au uonevu basi, upendo ndani ya ndoa au uchumba huo unaweza kuchomoka na kutafuta makazi mahala pengine kwa faraja ya muda ya kificho.

Kupanga ratiba ya kufanya tendo la ndoa kwa wana ndoa au wachumba ni mwanya au uchepushaji wa upendo wa ndani ya ndoa kwenda nje ya ndoa. Tendo la ndoa lifanyike wakati wowote bila ratiba, wanandoa au wachumba wanapopata joto la kuhisi kufanya tendo, iwe sebuleni nyakati za usiku mkalai, jikoni watoto wakiwa shule, chumbani na mahali popote tulivu pa faragha panapo weza kuwapa uhuru na kuwasitiri haja stahiki.

Kila la kheri sana...
 
Tendo la ndoa baina ya wanandoa na wachumba ni chachu na kiungo kimojawapo muhimu sana cha kuimarisha upendo, uaminifu, furaha na muunganiko wa wanandoa au wachumba.

Ni tendo muhimu sana linaloweza kuimarisha na kuchochea zaidi uimara wa ndoa au uchumba likitumiwa vizuri, kwa hiyari, ubunifu, ustadi, maarifa, umahihiri, unyenyekevu, utayari na kwa utoshelevu.

Lakini pia likitumiwa vibaya kana kwamba ni adhabu, karaha, usumbufu, uchafu au uonevu basi, upendo ndani ya ndoa au uchumba huo unaweza kuchomoka na kutafuta makazi mahala pengine kwa faraja ya muda ya kificho.

Kupanga ratiba ya kufanya tendo la ndoa kwa wana ndoa au wachumba ni mwanya au uchepushaji wa upendo wa ndani ya ndoa kwenda nje ya ndoa. Tendo la ndoa lifanyike wakati wowote bila ratiba, wanandoa au wachumba wanapopata joto la kuhisi kufanya tendo, iwe sebuleni nyakati za usiku mkalai, jikoni watoto wakiwa shule, chumbani na mahali popote tulivu pa faragha panapo weza kuwapa uhuru na kuwasitiri haja stahiki.

Kila la kheri sana...
Cha maana upendo uwepo, haijalishi huo upendo upo ndani ya ndoa au nje ya ndoa ilimradi ni upendo.
 
Damnnn...seriously?

Mnachangamoto yeyote? Kutoelewana ne mengineyo?
Mimi nasema humu kila siku.. hakuna kitu kinachodumisha ndoa kama MICHEPUKO! Hebu fikiria huyu jamaa ambae hajapewa unyumba miezi 7 sasa, kama asingekua na mahali pa kujipooza hiyo ndoa ingekuepo? Huo ugomvi ambao ungeibuka humo ndani lazima ndoa ingekua imeshavunjika kitambo..!
 
Mimi nasema humu kila siku.. hakuna kitu kinachodumisha ndoa kama MICHEPUKO! Hebu fikiria huyu jamaa ambae hajapewa unyumba miezi 7 sasa, kama asingekua na mahali pa kujipooza hiyo ndoa ingekuepo? Huo ugomvi ambao ungeibuka humo ndani lazima ndoa ingekua imeshavunjika kitambo..!

7 months anachepuka,vipi mkewe naye anasaidiwa na njemba nyingine nje?😅 hii life ..

Wakieleza changamoto zao basi hata kidogo watuambie tatizo lilipoanzia maana hatuwezi kuruka moja kwa moja "kataa ndoa,wanawake or wanaume wanasumbua,ndoa ni upuuzi" changamoto inaweza kuwepo kwa mlalamikaji or mlalamikiwa na haijalishi jinsia.
 
7 months anachepuka,vipi mkewe naye anasaidiwa na njemba nyingine nje?😅 hii life ..

Wakieleza changamoto zao basi hata kidogo watuambie tatizo lilipoanzia maana hatuwezi kuruka moja kwa moja "kataa ndoa,wanawake or wanaume wanasumbua,ndoa ni upuuzi" changamoto inaweza kuwepo kwa mlalamikaji or mlalamikiwa na haijalishi jinsia.
Asilimia kubwa ya wanawake hua wanatumia sex kama mtego wa kudakia mwanaume. Kabla hujamuoa atakupa kila siku, kila saa na kila dakika ukitaka! Hivyo ukishamuoa yeye anakua ameshamaliza kazi lengo lake limetimia so haoni tena umuhimu wa kuendelea kusex. Ndio hapo anaanza visingizio vya kila aina.

Wake zetu wengi kama wewe mwanaume usipoanza kutaka sex, unaweza shangaa mwaka ukapita mnaangaliana tu.
 
Kataa ndoa

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
siku ikikubali mwilini unakataa, muda na umri umekwenda, majutro yanatamalaki, mguu wa tatu hausimami, pumzi hakuna, huna kijana hata wa kusingiziwa....

shutuma na maneno ya jamii zinakumaliza zaidi kabisa, utaskia aah jamaa alikubkhanithi mnara ulikua haupandi ,sasa angepataje mtoto
 
Mawazo Ya kimasikini kabisaa haya.. Mara nyingi masikini ndiyo wenye tabia za kufikiria zaidi mambo km haya...! Tendo LA ndoa lipo Kwa ajili Ya kupatia watoto na si Kwa ajili Ya starehe km mleta Mada alivyotafsiri. Binadamu amepewa kila kitu kwenye uumbaji. Kapewa akili, nguvu, maarifa na utashi. Lkn huyu binadamu ndo Mjinga zaidi kwenye baadhi Ya maamuzi kuliko hata wanyama. Mfano mnyama km mbuzi, anafanya tendo LA ndoa akiwa kwenye siku Ya hatari tu.. Yaani siku ambayo akifanya tendo ni Kwa ajili Ya kupata Mtoto tu. Hata dume LA mbuzi huwa linanusa ute kwenye K Ya jike.. Likijiridhisha ute ni wenyewe dume linampanda jike.. Jike likishapandwa halifanyi tena tendo LA ndoa mpaka atakapojifungua.. Hapo tu inaonyesha jinsi huyo mnyama alivyomstaarabu kwenye tendo kuliko binadamu.. Binadamu ato****a mpaka siku Ya kujifungua huu ni ujinga. Kumbuka binadamu mwanamke anapata hamu Ya kufanya tendo mara Moja tu Kwa mwezi.. Haha tofauti na mbuzi.... Tafuteni pesa vijana achaneni na huu upuuzi WA kuwaza ngono kila wakati. Hivi bakharessa anapata wapi muda WA kuwaza upuuzi km huu!?? Wanawake kwenye hela huwa hawaondoki...
 
Mawazo Ya kimasikini kabisaa haya.. Mara nyingi masikini ndiyo wenye tabia za kufikiria zaidi mambo km haya...! Tendo LA ndoa lipo Kwa ajili Ya kupatia watoto na si Kwa ajili Ya starehe km mleta Mada alivyotafsiri. Binadamu amepewa kila kitu kwenye uumbaji. Kapewa akili, nguvu, maarifa na utashi. Lkn huyu binadamu ndo Mjinga zaidi kwenye baadhi Ya maamuzi kuliko hata wanyama. Mfano mnyama km mbuzi, anafanya tendo LA ndoa akiwa kwenye siku Ya hatari tu.. Yaani siku ambayo akifanya tendo ni Kwa ajili Ya kupata Mtoto tu. Hata dume LA mbuzi huwa linanusa ute kwenye K Ya jike.. Likijiridhisha ute ni wenyewe dume linampanda jike.. Jike likishapandwa halifanyi tena tendo LA ndoa mpaka atakapojifungua.. Hapo tu inaonyesha jinsi huyo mnyama alivyomstaarabu kwenye tendo kuliko binadamu.. Binadamu ato****a mpaka siku Ya kujifungua huu ni ujinga. Kumbuka binadamu mwanamke anapata hamu Ya kufanya tendo mara Moja tu Kwa mwezi.. Haha tofauti na mbuzi.... Tafuteni pesa vijana achaneni na huu upuuzi WA kuwaza ngono kila wakati. Hivi bakharessa anapata wapi muda WA kuwaza upuuzi km huu!?? Wanawake kwenye hela huwa hawaondoki...
ungesoma taratibu kwa utulivu bila papara ungenielewa vizuri zaidi, japo kwa kiasi pia umenielewa haidhuru.

nimesema tendo la ndoa ni miongoni au ni moja kati ya vichocheo au viungo vya kuimarisha upendo, furaha, uaminifu n.k kwa wanandoa na wachumba...

na kwa taarifa yako jambo hili halikwepeki kwa tajiri au Maskini, na kwahivyo haliwezi kuwa wazo la kitajiri au kimaskini. Linahusu wanadamu wenye hisia, vichocheo na mahitaji ya kimwili.

Lakini tendo lile sio tu kwaajili ya kupata watoto. Ni starehe pia. Vipi kwa ambao hawana haja ya kupata watoto au tayari wamefunga kupata watoto. Bado wanafanya tendo ili wapate watoto? Anyway hii haikua hoja kwenye bandiko langu, nashukuru kwa mtazamo wako huu na mengine uliyoyadadavua vizuri sio maoni mabaya ni mazuri sana tu.

Katika jamii tunamoishi jambo hili la kupanga siku za kufanya tendo linaleta shida miongoni mwa wanandoa ndio maana nikona ni vema kulisanua na kushirikisha waungwa ili kupata maoni ikiwa lina afya ama laa.

Kwa maoni yangu naona si sawa kama nilivyoeleza kwenye bandiko..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom